Msaada: Mtoto kufunga choo

Asante...


 
Asante.
Nitazingatia ushauri wako


 
Naona watoto huwa wanapitia hiyo hali..... Kwa wale wenye imani zao wanasemaga eti mtoto asipo pupu ni anakua anapata mwili (ananenepa) teh sijui ina uhusiano gani

Dah! hii nayo mpya, mie nilivyo chikondee ntaulizia vizuri huenda nilikua napupuu kutwa mara 3 au 4.
 
Dah! hii nayo mpya, mie nilivyo chikondee ntaulizia vizuri huenda nilikua napupuu kutwa mara 3 au 4.

Ha ha ha si dhani kama kuna uhusiano wowote hapo ni watu tu na imani yao, kuna mdau kaeleza kuwa sababu ni maziwa ya mama, accumulation yake hadi yatengeneze taka mwili inahitajika muda....hii inaingia akilini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…