Pole mama mzazi. Huyo mtoto isijekuwa ushamuanzishia vyakula vingine. Mpk sasa anatakiwa awe anashibia kwenye ziwa la mama tu na si vinginevyo. Km anapewa vyakula vingine inakuwa vigumu kuchambuliwa. Tumbo lake lina iwezo wa kuchambua (kumeng'enya) maziwa tu halijawa tayari kwa vitu vingine. 1. Mtoto akimaliza kunyonya hakikisha baada ya muda anacheua. Hata ikipita saa nzima hakikisha anacheua. Mlaze kifudifudi msuguesugue mgongoni yatatibu mpk acheue. 2. Kama analialia ina maana amemeza hewa nyingi wakati wa kunyonya na imejaa tumboni inamsumbua ambsyo huweza kusababisha hali hiyo. Fanya yafuatayo: 1. Jaza maji ua uvuguvugu kwenye beseni la kimuogeshea. 2. Muweke kwenyemaji kwa dk 10-15 ukiwa unamchezesha taratibu. 3. Mkono 1 mshikilie wakati mkono mwingine unapapasa tumbo lake tatatibu kwa mwendo wa duara kwenda mbele na nyuma (clock n anticlockwise). Mtoe na mfute vizuri. Endapo hatapata choo fanya hivi tena. Mlaze chsli chuku mafuta yoyote ya maji yapashe moto kidogo. Chovya vidole vyako 4 kwenye mafuta yenye uvuguvugu na usugu taratibu tumbo lake kwa mwendo ule2 wa duara kwenda mbele na nyuma. Hata ksma tumbo lilikuwa linamuuma litaacha. Pole. Waweza tuma PM au nipigie 0784305504.