mchakavumlasana
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 389
- 212
- Thread starter
- #41
Asante...
Mnyonyeshe kila saa ashibe vyema na mchuwe tumbo kwa mafuta ya nazi yaliyopashwa moto. Sishauri mtoto wa umri huo kupewa chochote tofauti na ziwa la mama na kama imebidi mpe mafuta ya samaki yale ya ladha ya machungwa na jitahidi asb mapema 12 mnyweshe na saa 4usk. Ikigoma kama unaweza pata samli ya kutikisa maziwa ya mgando uwe unamlambisha. Kinginee mvue nappy mpkake sabuni mkunduni sabuni ya kufua akae nayo dk kama 10 atakunya hivyo akimaliza mnawishe kuiondoa mabak yote ya sabumi na kinyec