Mpe kiberiti lol
Pole dia muwahishe hosp!!!
Mwambie aachame, washa njiti ya kiberiti halafu tumbukiza tumboni.
MSAADA JAMANI:
JE NI HUDUMA GANI YA KWANZA ,ALIPPEWA MAZIWA ,NA CHUMVI AKATAPIKA
MTOTO HUYU ANA 1.3YRS OLD
KULIKUWA NA JENERATOR NJE WANAPUMP MAJI KWANGU UMEME WA TANESCO HUJAFIKA,ILE WAMEJISAHAU KIDOGO AKAENDA CHOMO AILE PIPE INAYOTOA PETROL NAKUBWIA ,
JAMANI NISAIDIENI ANAWEZA PATA SIDE EFFECT???
NIFANYE NINI SASA MAANA AMETAPIKA NA SIJUI KAMA IMEKWISHA HUMO TUMBONI .
JE IKIINGIA KWENYE MISHIPA YA DAMU HAIWEZI LETA MADHARA??
ANY ONE HAD EXPERIENCE THIS NIAMBIENI WOGA IMENITAWALA
NAWASILISHA WAKUU WANGU
MziziMkavu Riwa NA WENGINE WOTE NISAIDIENI MWENZENU
asante sana kaunga the boss little angel smile kisukari
mtoto anaendelea vizuri niimempeleka kwa dactari anayemtibu amemchoma sindano,pia ametapika na tumempa maziwa mengi sana kwa sasa lita imeisha nimemnyonyesha na amelala na ile harufu naona imepungua kabisa.namshukuru sana mungu .asanteni sana.
sipo nyumbani ndugu yangu lol amelala kwa sasa nafikiri inshalevya lol
Mwambie aachame, washa njiti ya kiberiti halafu tumbukiza tumboni.
ohh my good god oh
Mwambie aachame, washa njiti ya kiberiti halafu tumbukiza tumboni.
Mpeleke Ewura apewe Bei elekezi!
asante sana Tuko kwa ushauri mzuri nitaufuatiliaKama kweli hiyo petroli ilikuwa na lead nyingi basi madhara yanaweza kuwa makubwa hapo hapo. Ila kama hadi sasa yupo salama, then mpe dawa za kuondoa sumu mwilini (sizijui majina, but ukienda kwa Dr Kibona pale Shekilango utapata). Pia kuna mboga zinaitwa cilantro (na zenyewe sijui jina lake kwa kiswahili, ila zinauzwa sana sokoni), ukigoogle ukaona picha zake nina uhakika utazitambua mara moja. Hizo mpe (kwa kuwa ni mtoto unaweza kuwa unamnywesha supu yake kidogo kila siku), walau kwa wiki 2...
Pole sana...
King'asti mpenzi haya yote yanatokea niko huku mjini hiyo jana ,nilichokifanya nilimpigia Dr,ambaaye huwa anamuattend toka amezaliwa akaenda mchukua pale nyumbani,na katika kuhangaika kama huduma ya kwanza walimpa tui la nazi,na maziwa mengi then chumvi kidogo akatapika ile peetrol karibu yote ,ndio na dr akamchukua!!mpaka narudi jioni alikuwa kesha hudumia kwa usimamizi wa baba yake.najua mnaijua dsm kutoka point moja hadi nyingine ni kazi sana,ila nilikazan pia kumwangalia nakumnyonyesha usiku kucha namshukuru mungu anaendelea vizuri leo hii asubuhiyaani wewe Nivea unataka kuniudhi sasa!
Kwanza huyo kid alionwa na dr wa watoto? Kama ulimpeleka kidispensary cha mtaani kwa kweli umuamshe sasa hivi muende kwa dr wa watoto.
Pili. Ina maana hauna namba ya dr yeyote ambaye unaweza kumpigia kwa emergency? Ama namba ya hospitali unayotibiwa mara nyingi? Huduma ya kwanza sio ya kubahatisha. Mtu aliekunywa petroli ama mafuta ya taa hapaswi kutapishwa kwa sababu yataingia kwenye mfumo wa hewa na kusababisha infection.
Mpeleke mtoto hospitali tena, au kwa dr mwingine kwa ajili ya kucheki kifua. Mpe na juice ya beet root iliyochanganywa na apples kwa sababu inasaidia kuondoa sumu mwilini.
Poleni sana.