pole ndugu yangu nilighafilika tu maana dah ilikuwa ni hatari sana mkuuNakutania tu mwaya, najua umepewa ushauri woote unaohitajika na mtoto amepatiwa huduma inayostahili, ni utani tu sina roho mbaya kihivo Nivea​.
Asante sana Kaunga The Boss Little Angel Smile kisukari
mtoto anaendelea vizuri niimempeleka kwa dactari anayemtibu amemchoma sindano,pia ametapika na tumempa maziwa mengi sana kwa sasa lita imeisha nimemnyonyesha na amelala na ile harufu naona imepungua kabisa.namshukuru sana Mungu .asanteni sana.
una matatizo ya akili huna tofauti na serukamba
MSAADA JAMANI:
JE NI HUDUMA GANI YA KWANZA ,ALIPPEWA MAZIWA ,NA CHUMVI AKATAPIKA
MTOTO HUYU ANA 1.3YRS OLD
KULIKUWA NA JENERATOR NJE WANAPUMP MAJI KWANGU UMEME WA TANESCO HUJAFIKA,ILE WAMEJISAHAU KIDOGO AKAENDA CHOMO AILE PIPE INAYOTOA PETROL NAKUBWIA ,
JAMANI NISAIDIENI ANAWEZA PATA SIDE EFFECT???
NIFANYE NINI SASA MAANA AMETAPIKA NA SIJUI KAMA IMEKWISHA HUMO TUMBONI .
JE IKIINGIA KWENYE MISHIPA YA DAMU HAIWEZI LETA MADHARA??
ANY ONE HAD EXPERIENCE THIS NIAMBIENI WOGA IMENITAWALA
NAWASILISHA WAKUU WANGU
MziziMkavu Riwa NA WENGINE WOTE NISAIDIENI MWENZENU
Mpeleke Ewura apewe Bei elekezi!
kuppiga bweo nikufanyaje mkuu wanguIliwahi kunitokea wakati navuya mafuta kwa pipe nikayabwia kama glass 1. Mi nlikunywa maziwa tu, tena ya NIDO sikutapika ila nlikuwa nkienda mbweo tu, siku tatu nzima nkenda mbweo harufu ya petroli unaisikia kutoka kinywani. Wakati natafuta ufumbuzi kwa sababu mzee hakuwepo nikamfata jirani ili akanipeleke hospitali, akamtwangia dokta wake na kumpa details, dokta akauliza kama napiga mbweo, nkamwambia yes akasema basi inatosha.
Asikae karibu na moto
Mpe kiberiti lol
Pole dia muwahishe hosp!!!
Mwambie aachame, washa njiti ya kiberiti halafu tumbukiza tumboni.
Mpeleke Ewura apewe Bei elekezi!
Hapana yake ni ya vidumu watamlokapu lol
😛layball:kuppiga bweo nikufanyaje mkuu wangu
Nashukuru Nivea.pole ndugu yangu nilighafilika tu maana dah ilikuwa ni hatari sana mkuu
na uwe na siku njema
What does this mean?😛layball:
Asante sana Kaunga The Boss Little Angel Smile kisukari
mtoto anaendelea vizuri niimempeleka kwa dactari anayemtibu amemchoma sindano,pia ametapika na tumempa maziwa mengi sana kwa sasa lita imeisha nimemnyonyesha na amelala na ile harufu naona imepungua kabisa.namshukuru sana Mungu .asanteni sana.
sipo nyumbani ndugu yangu lol amelala kwa sasa nafikiri inshalevya lol
ni yakuondoa sumu mwilini.kabla pia niliwasiliana na kaka yangu ambaye ni mfamasia akashauri achomwe hiyo sindano haina madhara dawa ahiyo inatoa sumu mwilini ni badala yakumeza vidongeumemwuliza daktari hiyo sindano aliyochoma ni ya nini?
kwani nilipost hii thread kupata mchango ya ndugu zangu humu ili nijue how to move forwad au kupata page zijae na wachangiaji wengi??????????imenisaidia sana michango ya humu na na kila ushauri niliokuwa napewa nimeufanyia kazi je ningepost nije asubuhi ingesaidia nini.watu wengine bwana useless kabisa
kuppiga bweo nikufanyaje mkuu wangu
Kumradhi.Dah!!! Watu wengine bana!!! Mwenzetu ana tatizo kubwa sana anaomba msaada wa kumsaidia mwanae ili asiathirike na hiyo petroli aliyokunywa halafu wewe unafanya dhihaka!!! Hivi huyu angekuwa mwanao ungewasha kibiriti na kumtumbukizia tumboni!? Acha hizo!!! Pole sana Nivea.
You are right, kama ni true this woman is stupid,sijui muda wa kupost jf aliupata wapi,ndomana alikuwa anamsema mama mkwe wake hapa,hii mijitu ya kigacha haina akili kabisa inawaza mali all the time
kwani nilipost hii thread kupata mchango ya ndugu zangu humu ili nijue how to move forwad au kupata page zijae na wachangiaji wengi??????????imenisaidia sana michango ya humu na na kila ushauri niliokuwa napewa nimeufanyia kazi je ningepost nije asubuhi ingesaidia nini.watu wengine bwana useless kabisa