pole sana mpeke hospital. ila ninavyojua mdhara sio makubwa sana maana hata kuwa amekunywa kiasi kikubwa. kuna mdogo wangu alikunywa soda ya mafuta ya taa ila alipona na mpaka leo hii anaendelea vizuri
Jifunze kuangalia vitu vya kuposti mengine tunakuona kama vile unatafuta kuonekana ulikuwa JF sasa unaacha kumpostia daktari wa mtoto unatuletea hapa JF??? Hivi ushapata bei elekezi mpenzi lol
You are right, kama ni true this woman is stupid,sijui muda wa kupost jf aliupata wapi,ndomana alikuwa anamsema mama mkwe wake hapa,hii mijitu ya kigacha haina akili kabisa inawaza mali all the time