Msaada: Mtoto wangu wa kiume wa miezi saba haoneshi dalili ya kusimamisha uume

Hii mada umeandika kujifurahisha kwakuwa imeona mtu mwingine kapost. Subiri tatizo likikukuta uje uombe ushauri
 
Sawa sawa Doktari kwa hio akitoka tu tumboni anatakiwa awe amedinda
 
Duh! Hebu tupe scientific explantion umbilical cord ina nini ambacho kinaathiri uume kusimama? Na mama kuji lingiza huo uime SCIENTIFICALLY ina reaction gani inayoufanya urudi kusimama?

N.b
MEDICALLY/SCIENTIFIC EXPLANATIONS ONLY .
Kuna mambo mengine hayana scientific reason usikariri elimu uliyosoma kuwa ndiyo pekee unatibu ama inafanya kazi katika universe.
Sahizi wanasayansi wanaanza ku study about quantum mechanics.yaani vitu visivyoonekana.
Elezea why mtt anapata tatizo Yuko mbali na mama yake Ila mama anahisi something isn't okay.
Kuna jaribio moja ivi watt wa sungura waliuliwa wakiwa mbali na mama zao, Sasa wakati wanauliwa bwanaa mama zao wakawa scanned their brain kiasi kwamba their changed katika hali ya maumivu
 
Haujajibu swali bado
 
Utamuumiza mtoto bure na madawa ya watu wazima. Mchunguze akiamka au akiwa anajinyoosha mwili je atasimamisha kama hapana nitafute
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…