Msaada muda wa kubadili oil kwenye gari.

Msaada muda wa kubadili oil kwenye gari.

Olsea

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2012
Posts
466
Reaction score
273
Habari wakuu,nina gari yenye engine 2sz nilimwaga oil na kubadili oil filter ikiwa na kilomita 95,000 fundi akaandika kwenye service card kuwa natakiwa kumwaga tena ikifika kilomita 98,000.Sasa jana ndyo gari imefikisha hizo kilomita ila leo nimeangalia oil bado ipo vile vile kama mpya ikiwa na viscosity na rangi yake ile ile kama inavyokuwa kwenye kopo lake nimepata utata kidogo je natakiwa kubadili sasa hv?oil niliyotumia ni ile ya Toyota 5W 30.
 
Habari wakuu,nina gari yenye engine 2sz nilimwaga oil na kubadili oil filter ikiwa na kilomita 95,000 fundi akaandika kwenye service card kuwa natakiwa kumwaga tena ikifika kilomita 98,000.Sasa jana ndyo gari imefikisha hizo kilomita ila leo nimeangalia oil bado ipo vile vile kama mpya ikiwa na viscosity na rangi yake ile ile kama inavyokuwa kwenye kopo lake nimepata utata kidogo je natakiwa kubadili sasa hv?oil niliyotumia ni ile ya Toyota 5W 30.
Hiyo ni Toyota gari gani?
 
Fanya service bwanaa hata kama sie hatuna magari huo ni umaskini.

Muda wa service ukifika fanya service kwa uimara wa gari lako labda sema hauna helaa😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃
Unaanza kutafuta sababu😆😆😆😆😆😆

Service ni laazma Muda ukifika.
 
Kumekuwa na elimu ya kila Aina juu ya matumizi ya oil na km zake...Mimi Nina uzoefu Sana juu ya hizi km 3000 hasa oil zetu za kisasa za fully synthetic oil 5W-30,40.
Kulingana na Aina za kampuni kama vile total,liqur Molly, Atlantic,, Castrol hizi oil zina uwezo mkubwa wa kuishi Hadi km 6000 ila kutokana na mazingira yetu ya joto Kali ndiyo maana mafundi wanashauri Tuendelee nazo Kwa km 3000.

Hivyo sio mbaya kama unaona oil bado IPO vizuri ukatembelea Hadi km 5000..
Mimi natumia oil ya CASTROL EDGE FULL SYNTHETIC 5W-30 kama manufacture alivyopendekeza hata services yake Huko Japan walikuwa wanatumia Castrol oil maana kuna stika zipo kwenye gari nimeona ingawa Kwa Huko Japan wanatumia Kwa km 10,000 kama stika zinavyosena Ila bado Kwa huku bongo siwezi kuiga Kwa km hizo
IMG_20250118_100915.jpg
 
Kumekuwa na elimu ya kila Aina juu ya matumizi ya oil na km zake...Mimi Nina uzoefu Sana juu ya hizi km 3000 hasa oil zetu za kisasa za fully synthetic oil 5W-30,40.
Kulingana na Aina za kampuni kama vile total,liqur Molly, Atlantic,, Castrol hizi oil zina uwezo mkubwa wa kuishi Hadi km 6000 ila kutokana na mazingira yetu ya joto Kali ndiyo maana mafundi wanashauri Tuendelee nazo Kwa km 3000.

Hivyo sio mbaya kama unaona oil bado IPO vizuri ukatembelea Hadi km 5000..
Mimi natumia oil ya CASTROL EDGE FULL SYNTHETIC 5W-30 kama manufacture alivyopendekeza hata services yake Huko Japan walikuwa wanatumia Castrol oil maana kuna stika zipo kwenye gari nimeona ingawa Kwa Huko Japan wanatumia Kwa km 10,000 kama stika zinavyosena Ila bado Kwa huku bongo siwezi kuiga Kwa km hizoView attachment 3205077
Ni kweli Mkuu,nimefungua bonet ya hii gari nimekuta maandishi yana recommend kuwa oil ibadilishwe kila baada ya kilomita 15,000...nafikiri nitabadili soon ila ukwel oil iliyopo bado ni mpya kabisa.
IMG_8765.jpeg
 
Habari wakuu,nina gari yenye engine 2sz nilimwaga oil na kubadili oil filter ikiwa na kilomita 95,000 fundi akaandika kwenye service card kuwa natakiwa kumwaga tena ikifika kilomita 98,000.Sasa jana ndyo gari imefikisha hizo kilomita ila leo nimeangalia oil bado ipo vile vile kama mpya ikiwa na viscosity na rangi yake ile ile kama inavyokuwa kwenye kopo lake nimepata utata kidogo je natakiwa kubadili sasa hv?oil niliyotumia ni ile ya Toyota 5W 30.
Oil inabdilishwa kwa sababu ya yafuatayo;

1. Calendar time
Hata kama gari haijatembea kwa muda fulani, bado utatakiwa ubadili oil. Maana naturally, oil inapoteza hali bora yake kutokana na mazingira na hali ya hewa

2. kilomita ambazo gari imetembea

3. Oil kuvuja

Chochote nje ya hivyo kisitumike kuamua kubadili au kuiacha oil iendelee kutumia.
 
Ni kweli Mkuu,nimefungua bonet ya hii gari nimekuta maandishi yana recommend kuwa oil ibadilishwe kila baada ya kilomita 15,000...nafikiri nitabadili soon ila ukwel oil iliyopo bado ni mpya kabisa.View attachment 3205234
Kama unatumia Fully Synthetic Oil badilisha kila ikifika km 5,000.

Mimi kwasasa natumia PUMA Fully Synthetic Oil baada ya kuachana na CASTROL Edge Fully Synthetic Oil
 
Kwa namba hiyo ya oil unayotumia bila shaka ni synthetic oil. Ina uwezo wa kwenda zaidi ya km 5000. Ila oil filter hapo ndo ya kubadili.
Oil Filter kama ni Genuine atabadili kila ikifika km 5,000 pamoja na Oil.
 
Back
Top Bottom