Msaada: Mume wangu tukiwa pamoja ni sex tu, hanipi muda tukakaa tu na kuongea

sasa ulifikiri alikuoa wa nini? angekuwa anahitaji mtu wa kupiga naye story angekuoa? sehemu kibao tu unaweza kupiga story ukaridhika wala asingekuoa.
 
Kwa sisi Wahenga wa zamani!
Kama wazazi wake bado wako hai, kamshitakie kwa Mama yake! Naye mama yake alilifikisha hilo kwa baba yake! Baba yake atatafuta utaratibu wa kumwambia!
 

Atakuwa na kitu kimepinda kama NDIZI huyo maana lile linaingia limejichonga kama screw na likishazama lote halitoki kirahisi!
 

Inawezekana pia mume wako ana mshipa unaoitwa LYANG’OMBE! Inabidi uende kwa mganga wa kienyeji anaitwa Kalembwani huko Ifakara sehemu za Mlimba! Atairekebisha hiyo ngoma ya mumeo!
 
Tupo mkuu
Nilikuwa nacheki tu kama mshawakilisha.

Haya mambo inabidi kuchunguzana vizuri katika uchumba.

Unanikuta mimi napenda kuzungumza mambo ya Wall St. Journal, COP28, quantum computing and banking security, antibacterial resistance, water wars, GDP per capita and its significance, etc, halafu unakuja kunikuta niko na mtu hatuna chochote in common cha kuongea zaidi ya vigodoro. Kazi ni kudinyana mwanzo mwisho.

Sasa hapo kwenye uchumba mnapitaje mpaka mnakuja kustukiana kwenye ndoa?
 
Yaana katika maisha yangu sex sio kila kitu kwangu labda ndo sababu naumie hivu mume wangu kitandani yuko vizuri ila siyo romantic. Hii ndo inaniuma mimi
Pole Sana aiseee naona most of men wanapata shida kuelewa sababu wao sex n kila kitu kwao tofauti na wanawake sex should be there but other things must be there too .

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kiongozi, sijui wewe ni ndg yangu!? Umenigusa Sana!
 
Umeongea point sana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Mzee Marwa
 
Kuna wanaume wapo hivyo hata ukiwa unapika anakuita njoo chumbani [emoji1787]

Alafu umkute ni yule asiyejua kukuandaa lazima uchukie ndoa...

Huyo ni chaguo lako, chaguo lako..haka ni ka kawimbo [emoji1787][emoji1787]
So unawasema wanaume waliotunza maisha yao alafu wewe uliyaharibu na kuolewa bila bikra ndo wa kuwacheka? Hata kama umetubu , this is lack of respect to the Lord Jesus Christ. Unapromote uasherati kabla ya ndoa kiaina.
Kwanini mwanamke asizungumze wakati wa mechi? Unataka mwanaume aote?
 
Duh, kwa ulikuwa unalia Hadi machozi yanakauka unabaki kumuachia Mungu tu!? Hahaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…