Msaada: Mume wangu tukiwa pamoja ni sex tu, hanipi muda tukakaa tu na kuongea

Wanawake huwa siwaelewi... huyu kabla ya kukuoa ulikua humjui?? Ulikurupuka kuolewa nae kwani? Kama hukumjua sasa hilo ni tatizo lako na kama ulimjua ulitegemea kumbadilisha jinsi alivyo??
 
Ukikaa na sisi tuangalieni sn
Ukiona tunaongea nawe hk mkono upo Chamwino jiandae
Ukiona tunaongea hk kiuno kinaenda kulia kushoto jiandae
Ukiona tunachezesha miguu na spidi inaongezeka jiandae

Ani kwa kifup JNHPP ikijaa ni kazi tu stor piga na wanawake wenzio
 
Acha ushamba, tumia hiyo fursa kuongea nae tena akikaribia kumwaga hapo ndio eleza shida zako zotee njoo nikupe darasaaa,

Shukuru sana, mnogeshe mpe vitu adimu tumia ubunifu alaf katikati ya sex mwaga sela zako kwa sauti ya mnato ya kudekaa, au ukiwa unabembeleza mic kwa kuibusubusu unamwaga sera zako hapooo,

Usichoke plz uliolewa ili ufanywe so usilalamike rafk, furahiaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…