Msaada: Mume wangu tukiwa pamoja ni sex tu, hanipi muda tukakaa tu na kuongea

Msaada: Mume wangu tukiwa pamoja ni sex tu, hanipi muda tukakaa tu na kuongea

Huenda ni ndoa mpya na mume bila shaka ni mtu ambaye yupo busy sana.Mume anaonekana ni selfish sana mtu asiyejali kuhusu hisia za mwingine kama yupo kwenye mood ama laa.kwenye ndoa Kuna vitu vingi Ambavyo ni tofauti na kwenye tamthilia zinazoelezea mambo ya ndoa.ukisikia wanatangaza zile semina za wanandoa au clip zinaelezea hizo habari mshauri alipie muende.jaribu kuhudhuria kwenye social event mbali mbali kama wedding,outing kwenye Maeneo ambayo atakutoa out mara moja moja anaweza kubadilika taratibu.usipomweleza kuwa hufurahishwi na jambo fulani no way anaweza akafahamu,Kwa hiyo ni vyema umwambie Nina mazungumzo na wewe,hata sex inatakiwa iwe na utaratibu na ratiba maalumu.
 
Haya maswala si ya kuleta mtandaoni, heshimu faragha yako, una wakubwa kwenye familia yako. Huyo ni mumeo, tunatarajia utaishi nae miaka mingi ijayo, lazima ujue kuongea nae, haiwezekani mtu wa nje aje akuelekeze jinsi ya kuongea na mumeo.
Ila utazoea ni jambo la kawaida, wewe si wa kwanza kulalamikia intensive sex.
 
Niliwahi kuwa na x wa hivi jamani usikatize mbele yako kakudaka
Na energy yupo full
Kwa usiku mmoja ukimchekea anakukula hata vitatu vile vya dakika 40 40
Na alikuwa amejaaliwa Dhakari kubwa
mashalaah
Basi alikuwa ni kampa kampa tena anapenda sex vibaya sana
We dada ongea naye taratibu ila vinachoshaga sana usisahau kilainishi utaenjoy kidogo [emoji14]
Hapo na kibamia changu nikija naogelea tuu.
 
Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.

Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.

Nawapenda nyote.
Muongeeee kwani ye mwandishi wa habari....??pigakazi wengine wanakesha kwa kuhanimussa kuombeaa waumee zaooonumeme umegomaaa tumika ukikatika huooo utaulilia milele
 
Tena hapo ni afadhali inamaana hapo ilibaki kidogo badala ya kuchoma Nyumba angechoma huyo mwanamke wake na huyo Mtoto wa mchepuko [emoji14][emoji14]
Mwanamke kakimbia na mtoto hataki kurudi nyumbani na hio nyumba inavyosemekana Mwanamke anasema ni yake kwa hio bwana Marwa kaona isiwe tabu kaipiga kiberiti
 
Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.

Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.

Nawapenda nyote.
Qality time wanawake wemgi wanaikosa kwenye ndoa lakini wanaihitaji sana.

Wanaume wengi hatujui kwamba kuna muda inahitaji tukae na wake zetu,tuwasikilize tena tukiwa tumeweka pembeni kila kitu kama vile simu na remote ya tv.

Unakaa unamtizama machoni na kureact kutokana na anavyosimulia mkeo.

Kama ni sehemu ya kucheka unacheka,kama ni sehemu ya kushangaa unashangaa,kama ni sehemu ya huzuni unajitia huzuni,kama ni sehemu ya kulaumu unalaumu.

Huo ni muda ambao wanawake ukiwapa japo kidogo kila mnapokutana basi atakuthamini zaidi.

na huo ndio urafiki unaokusudiwa.
 
Back
Top Bottom