Bi dentamol
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,018
- 2,130
- Thread starter
- #21
Niyeye Niko nae since 2016 novHuyu ni jamaa mwingine?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niyeye Niko nae since 2016 novHuyu ni jamaa mwingine?
Bi dada anampenz,huyo mpenzi kakulia kijijini ana kazi nzuri na anataka kumuoa bi dada but tatizo linalompa wasiwasi aogope kuingia kwenye ndoa na jamaa ni kwamba jamaa hayupo romantic..anaomba ushauri wakoAliyeelewaa atufafanunulie kwa ufupii
Niyeye Niko nae since 2016 nov
Sasa najuaje Kama ananipenda?
Unavyosomeka tu inaonekana unapenda sana attention. Sasa hivi hatuwapi tena attention, tumegoma, hatutaki[emoji39][emoji39]Duuuuh!! Kwa mie mpenda attention nashindwa hata cha kukushauri.
Sasa mwenzio atajuaje unaempenda jmn....hapa ninawiki naumwa nimelazwa jamaa hata kuja kuniona hamna... hata kutuma 100 ya matibabu hakuna yaan mpaka naona aibu wanaoniuguza wakiuliza mwenzio kaja inabidi niongee uongo kasafir kikaziWanaume wengine hawako romantic mamy
Atatafuta wa kumpa attention mpaka azeekeOngea na wazazi wako mrudishe mahari uendelee kutafut
Kiuchum yuko vzur lkn nikimtolea hata shida anajifikiria Sana kunisaidia.....Kuna kipindi tulienda nae kufanya shipping ,,,alinunua vitu vyake,,, mama yake,,, mdogo ake,,, mi niliambulia kiatu Cha elf 10. Kati ya lak 4Matendo yake mf.kuleta chakula kizuri nyumbani, ukimwambia shida yako anakusaidia n.k hii inategemea na hali yake ya kiuchumi.
Mmmh huyu kazidi sasa,hii sio kawaida. Hadi ulazwe haonyeshi hata kuguswa,hii hatari.Sasa mwenzio atajuaje unaempenda jmn....hapa ninawiki naumwa nimelazwa jamaa hata kuja kuniona hamna... hata kutuma 100 ya matibabu hakuna yaan mpaka naona aibu wanaoniuguza wakiuliza mwenzio kaja inabidi niongee uongo kasafir kikazi
Hahahaaaa!! Ndio muone madhara yanayosababishwa na ukauzu wenu.Unavyosomeka tu inaonekana unapenda sana attention. Sasa hivi hatuwapi tena attention, tumegoma, hatutaki[emoji39][emoji39]
Ulishawahi kumuuliza ni kwanini anafanya hivyo?Kiuchum yuko vzur lkn nikimtolea hata shida anajifikiria Sana kunisaidia.....Kuna kipindi tulienda nae kufanya shipping ,,,alinunua vitu vyake,,, mama yake,,, mdogo ake,,, mi niliambulia kiatu Cha elf 10. Kati ya lak 4
Kuna kipindi cm yangu ilisumbua nikamuomba yake ambayo alikua haitumii akadai inamambo mengi mwez uliofata akamuomba mdogo ake akampa
nililazwa Kama 1wk hv alipo mpaka kufika nauli elf 6 lkn hakuja alikua anapiga cm tu hata elf 10 tu niongezee matibabu hakuna....akipiga cm anashaur jitahid ule matunda na juice hata elf 5 ya matunda hamna
Uwiiii hapo hamna mtu.Sasa mwenzio atajuaje unaempenda jmn....hapa ninawiki naumwa nimelazwa jamaa hata kuja kuniona hamna... hata kutuma 100 ya matibabu hakuna yaan mpaka naona aibu wanaoniuguza wakiuliza mwenzio kaja inabidi niongee uongo kasafir kikazi
Polee yake na ubaya wake hakuna chuo cha mafunzo ya hiyo kituBi dada anampenz,huyo mpenzi kakulia kijijini ana kazi nzuri na anataka kumuoa bi dada but tatizo linalompa wasiwasi aogope kuingia kwenye ndoa na jamaa ni kwamba jamaa hayupo romantic..anaomba ushauri wako
Ni mtu ambae utamuuliza anakwambia nisamehe tu ndugu yangu unamsamehe still habadilikiUlishawahi kumuuliza ni kwanini anafanya hivyo?
Jaribu kuwashirikisha wazazi au ndugu zake wa karibu , viongozi wa kiroho uone kama atabadillika.Ni mtu ambae utamuuliza anakwambia nisamehe tu ndugu yangu unamsamehe still habadiliki
Kuna rafiki yangu aliongea nae sana alinadilika kwa muda wa mwez mmoja tu then akarudia hali yakeJaribu kuwashirikisha wazazi au ndugu zake wa karibu , viongozi wa kiroho uone kama atabadillika.
Pale kweli hakuna mtu, hata kama mtu ndo alivyo kwa hapo imepitiliza.Uwiiii hapo hamna mtu.