Dionize N
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,848
- 3,293
Kama nakuona ulivyohoji hilo swali [emoji5][emoji5][emoji5]Umesema jamaa ni msukuma?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama nakuona ulivyohoji hilo swali [emoji5][emoji5][emoji5]Umesema jamaa ni msukuma?
Subiri anijibu, utajua ninachokiwazaKama nakuona ulivyohoji hilo swali [emoji5][emoji5][emoji5]
Na wanawake tunavyopenda attention kuishi na mtu wa hivyo kunataka moyo wa chuma.Pale kweli hakuna mtu, hata kama mtu ndo alivyo kwa hapo imepitiliza.
Hapo uliposema kakulia kijijini tena sana,ndo nmepata jibu la swali lako, huo ni ushamba unamsumbua tuu wala sio kingne...tafuta marafk wa kiume wa kwake wambie shda yako then wamshaurI hope mko poa guys
Naitaji ushauri hapa serious kabisa
Mimi ni mwanamke nina miaka 30 nina mchumba ambaye wazazi walishatupa ruhusa ya kuishi pamoja
Mwaka 2016 nilipata kazi ya muda mfupi katika kampuni fulani nilifanya kazi ndani ya miezi minne nilikutana na kaka ana 33 kwa a
Huyu Kaka nilimpenda sana alikuwa mtu fulan mpole hana Mambo ya ajabu ukweli nilitokea tu kuvutiwa nae. Nikafanya juhudi tukawa marafiki wa karibu, kusaidiana mambo mbalimbali haikupita muda tukawa tumeanza mahusiano ya kimapenzi
Uzuri jamaa alikuwa hayupo katika mahusiano serious, alikua na mwanamke ambae walikua hawafahamiani aliunganishiwa na jamaa tu so wakawa na mapenzi ya kwenye simu
Baada ya miezi 6 jamaa akanipeleka kwao kunitambulisha ilikua Desemba mwaka jana, Februaru mwaka huu alihamishwa mkoa mwingine kikazi nami nikaacha pale nikaanza biashara zangu binafsi. March akaja nyumbani kwetu kujitambulisha, Juni kupanga na kutoa mahari.
Oktoba Wazazi pande zote mbili walikutana kupanga mambo ya ndoa, wazazi wake wakaomba tuchukuane tu kwa sasa hawana uwezo tutafunga ndoa mwaka kesho. Hii ni sawa kwa jamii ya wasukuma wa kijijin kwani huamini ukishamtolea mahari mwanamke tayari wanakuja kumchukua. Familia yangu ikakubali
Kilichonileta kwenu
Baada ya kukaa kiuchumba na jamaa nilikua nahisi hanipendi tangu kabla hajanipeleka kwao nikawa najiondoa kwake ajabu nikikaa nae nikimwambia tuachane hakubali kabisa anaweza hata jitupa chini akibembeleza nisimuache
Nikimuangalia ni mtu ambae haoneshi kama ananipenda anaweza kaa siku 1 au 2 bila kunipigia. Ninaweza pata shida kunisaidia akawa mzito mno. Ni mtu ambaye hajali unaumwa, umepata matatizo unaishi vipi haelewi
Mwanzo nilihisi labda anamahusiano mengine lakini nilifanya uchunguzi sikubaini hicho. Mi nampenda najikuta naumia nahitaji kupata attention yake, muda wake, nilishaongea nae sana. Ni mtu ambae hata kuniambia nakupenda au nimekumiss au kuniita tu mpenzi wangu ni ngumu labda muwe kitandani kapandwa na hisia anaweza fanya hivyo au muwe mna ugomvi anakubembeleza au ndio mmeelewana
Atafanya hivyo for 2 days then anarudi katika hali yake
Nilishaongea nae kama hanipendi nimeshamuomba aniache niumie badae nitazoea hataki. Kuna kipindi nilimwambia aniache tu atafute mwanamke anaempenda na nikamchunia kweli
Aliteseka sana alinitafutia washauri sio ndugu zake, rafiki zake na zangu. Nashindwa kuelewa nitaishije na huyu mtu jamani. Sielewi ni maumbile yake yuko hivi, makuzi au tu hanipendi!
Amekulia kijijini hasa tena hasa nashindwa kuelewa labda ndivyo alivyo. Nawaza labda yupo kwangu kimaisha tu sababu yeye ana kazi nzuri mshahara mkubwa lakini familia ya kwao inamuelemea ukoo mzima unamtegemea yeye
Mimi kipato changu kidogo kwake lakini nina maendeleo kidogo namzidi na ninafanya vitu vya msingi. Nahisi labda jamaa amefata maisha!
Wadau samahani kwa kuwachosha naombeni mawazo yenu
Ha ha umeniwezaendelea nae, lakini tafuta wa kukwambia “i love u” pembeni.
Miaka selasini ushakomazwa uko na mafundi gereji alafu unataka upetiwe na kakijana ka watu[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Weee acha kabisa, mi hata picha haijiNa wanawake tunavyopenda attention kuishi na mtu wa hivyo kunataka moyo wa chuma.
Mh!Ebu komaa na jamaa na tumia uwezo wako like mwanamke kumshape maana kumuacha siyo solution
kama ndugu yenu mnanishaulje?Na wanawake tunavyopenda attention kuishi na mtu wa hivyo kunataka moyo wa chuma.
Washirikishe ndugu zake wa karibu sasa hata shemeji yako kama unaeKuna rafiki yangu aliongea nae sana alinadilika kwa muda wa mwez mmoja tu then akarudia hali yake
Wanawake wasumbufu tu muda mwingi.Huyo Kama mimi. Kwa kifupi ni nature yake. Mimi huwa ananilalamikia mke wangu Kama wewe hivyo unavyoeleza. Kiukweri ninampenda , namhitaji name Sina michepuko But nipo baridi Sana jambo la kukushauri ni kwamba Huyo mmeo anakuhitaji zaidi wewe uwe active kwenye mahusiano Sana kuliko wewe unavyomhitaji yeye awe. Na anaponilalamimia huwa najihisi Kama mke wangu ni too demanding Kwa vitu vidogo vidogo visivyo vya msingi. But Naoma Tofauti yangu na mmeo ni kuhudumia family Hapa nipo very responsible.
Masai unayosema ni sahihi.Wanawake wasumbufu tu muda mwingi.
Sasa anataka kilq muda umwambie unampenda ili iweje wakati hadi unaamua kumwoa ni dhahiri unampenda.
-Kama anaumwa ukishamwambia meza dawa na ukamletea dawa..visimu vya kumpigia vya nini?
Usumbufu tu mkuu.
Hata mm nmetoka kapa kwa kweliAliyeelewaa atufafanunulie kwa ufupii
Yaani mpenzi wako amelazwa unashindwa kuwa karibu yake eti wanawake ni wasumbufu kweli?Wanawake wasumbufu tu muda mwingi.
Sasa anataka kilq muda umwambie unampenda ili iweje wakati hadi unaamua kumwoa ni dhahiri unampenda.
-Kama anaumwa ukishamwambia meza dawa na ukamletea dawa..visimu vya kumpigia vya nini?
Usumbufu tu mkuu.