Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Miss you darling♥Ningeugua na kupondeka aisee. Usifanye mchezo na attention
Haki hii kitu inatesa acha kabisa, unajiuliza maswali na kujijibu mwenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miss you darling♥Ningeugua na kupondeka aisee. Usifanye mchezo na attention
Kwakweli huo ndio ugonjwa wetu.Mtupe tu brod darling
Kweli hata mm nipo kama jamaa haimaanishi kuwa ckupend nikiwa Ivo ila naogopa kukushow love mingi sana maana nyie viumbe huwa hamueleweki ukipendwa sana mtu akawa nice boy kwako ndo unabadilika miluzi ming humpoteza Mbwa utalewa mapenzi nikifanya too muchWanaume wengine hawako romantic mamy
Haujaelewa nn sasa mbona kaeleweka kama huna ushauri kaushaAliyeelewaa atufafanunulie kwa ufupii
Tatizo hamjali hamuoneshi upendo wanawake tunapenda careYani Hapo TATIZO ni ninii??? Mbona silionii...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
KumbeeHaujaelewa nn sasa mbona kaeleweka kama huna ushauri kausha
Acheni kuzingua dada kaelewekaDuu hata mimi nimesoma lakini sijaambulia kitu aise vp mtoa uzi unaweza kurudia vizuri ili tukupe ushauri wa kiutuuzima?
Miss you too swts.Miss you darling[emoji813]
Haki hii kitu inatesa acha kabisa, unajiuliza maswali na kujijibu mwenyewe.
Kwakweli huo ndio ugonjwa wetu.
😀😀😀Nimechanganyikiwa, mwanaume akinipa hela ananiomba tena hela
Nimechanganyikiwa, mwanaume akinipa hela ananiomba tena hela - JamiiForums
Naona unafukua makaburiNimechanganyikiwa, mwanaume akinipa hela ananiomba tena hela
Nimechanganyikiwa, mwanaume akinipa hela ananiomba tena hela - JamiiForums
Wenzio wanamjulia hali kutwa Mara tatu km dose ya panadolYaani kumbe tatizo ni attention. Hata mimi tusingewezana. Hizo mambo za attention siziwezagi kabisa. Hata kupiga simu sijui txt naweza pitisha hata wiki. Sasa wewe kwa nini usimzoeshe huo utaratibu wa kumsalimia kama unabvyohitaji mwisho wa siku atazoe. Na siku asipoona txt yako lazima atajiuliza kuna tatizo hivyo atakutafuta.
Sasa hapo hata raha ya mahusiano inatoka wapi si bora niwe single tu nijifariji mwenyewe.Miss you too swts.
Mwenzangu kuwe na utofauti wa kuwa single na ukiwa na baby. Mtu una baby ila upweke kama wote. Inahuu baby yupo ila siku nzima message iliyoingia ni ya "voda taarifa" tu. Shurti tudekezane, mapenzi ya ukauzu fyekelea mbali
Nlienda kuhakiki kitambulisho changu kwa mweshimiwa km na mimi nimo😎😎Wea av u bin?!
Huo upuuzi ulinishinda. Nitajidanganya tu kama huyo wa mleta mada. Lakini nitajisahau tu. Lakini madili ya hela na washkaji huwa sisahau kabisaWenzio wanamjulia hali kutwa Mara tatu km dose ya panadol