manizzle
JF-Expert Member
- Apr 29, 2015
- 3,421
- 4,320
Nipende wewe halafu unibadilishe. Kila kitu inawezekana chini ya jua.Kumbe bado uko kwenye stage ya wapenzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipende wewe halafu unibadilishe. Kila kitu inawezekana chini ya jua.Kumbe bado uko kwenye stage ya wapenzi
Nishapenda labda wangu akizingua....wacha nikuweke km pori la akiba baadaye unaweza kuwa hifadhi kabisa😛😛😛😛Nipende wewe halafu unibadilishe. Kila kitu inawezekana chini ya jua.
Three times kwa siku mbona chache jamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila nakuambia kuna wanawake wanapenda attention.
Simu yenyewe itapigwa three times kwa siku.
Usipo piga ananuna...lawama zinaanza.
Ukiumwa hayo uliyotaja hadi kulazwa jua tatizo ni kubwaUsikute mafua au kichwa au tumbo la siku.
mwenyewe siji.
Tafadhali usinisahau. Anza kunizoeaha niishi maisha ya mapenzi kama unayoyajua ni sahihi kuyaishi. Wengine twajiendea tu na kubadilika ni mtihaniNishapenda labda wangu akizingua....wacha nikuweke km pori la akiba baadaye unaweza kuwa hifadhi kabisa😛😛😛😛
Jaman!kama ww unampenda inatosha.. unataka upendwe ili ugundue nini??
Mi mpaka nimepata vidonda vya tumbo....jamaa anaweza pata safar ya masaa hata 10 akaanza safar hujui mpaka anafika badae ukimpigia ndio anakwambia nipo sehem fulan..... Unaugua cm zinapigwa za ndugu zako tu na mzazi wake ninamtihan kwakwel cjui nitaushindajeNingeugua na kupondeka aisee. Usifanye mchezo na attention
Pole sana C'ssy ila make sure unafanya maamuzi sahihi. Amani yako ya moyo ndiyo kitu cha muhimu zaidi.!Mi mpaka nimepata vidonda vya tumbo....jamaa anaweza pata safar ya masaa hata 10 akaanza safar hujui mpaka anafika badae ukimpigia ndio anakwambia nipo sehem fulan..... Unaugua cm zinapigwa za ndugu zako tu na mzazi wake ninamtihan kwakwel cjui nitaushindaje
Inatesa sana anaweza post picha nikikoment hata umependeza mpenz anajibu ok!...Miss you darling♥
Haki hii kitu inatesa acha kabisa, unajiuliza maswali na kujijibu mwenyewe.
Haha et sifur 2Honestly tofauti yangu na mtoa mada kitu alikuwa anajua kusema ni 'Nakupenda', Ila kwingine kote ni Sifuri kubwa mbili, Nikitaka kuondoka hataki halafu kubadilika habadiliki, nimempa 2nd chances zaidi ya 100 buh still ana rise the same same person.!! Ako ana enjoy zake burooook huko aliko.!!😊😊
Moyo wangu unanituma nimuache tu Kwan naona kabisa mbelen uko nitaachana nae na watoto juu...shida Kila mtu anajua,, jamii nzima inajua wazazi wote Leo tukiwaita wazazi wake tuwarudishie mahar yake nikiulizwa sababu sizan kama watanielewaPole sana C'ssy ila make sure unafanya maamuzi sahihi. Amani yako ya moyo ndiyo kitu cha muhimu zaidi.!
Wait!! Hivi umesema na mahari ashatoa na mnaishi pamoja!!!!Inatesa sana anaweza post picha nikikoment hata umependeza mpenz anajibu ok!...
Kwenye birthday yake nilimuandalia cake ...zawadi birthday wish nzuri...ilipofika yangu hata habar hakua nayo alivyoona fb akaandika happy birthday madam. Imagine
Nimeweza kumuacha kinachonishindaWait!! Hivi umesema na mahari ashatoa na mnaishi pamoja!!!!
Nimeona ile thread yako ya awali, kama ni same person basi pole sana mama.
Nakushauri acha kutumia moyo zaidi kufanya maamuzi ya maisha yako, tumia akili sasa kabla haijawa too late.
Kifupi kabisa nikwambaAliyeelewaa atufafanunulie kwa ufupii