Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Sasa hapo hata raha ya mahusiano inatoka wapi si bora niwe single tu nijifariji mwenyewe.
Wenzio wanamjulia hali kutwa Mara tatu km dose ya panadol
Eti mko kwenye mahusiano ila inapita wiki hamuwasiliani!! Hata kaka yangu tu sipitishi wiki sembuse mpenzi!!!Kwa kweli mbona kuwa single fureshi tuuuu
Na hata sio upuuzi labda km maisha bado yanakuchanganya, watu wako bize tena matajiri wenye pesa lakini hawasahau kuwajulia hali wenzi wao tena mara nyiiingi tu kwa sikuHuo upuuzi ulinishinda. Nitajidanganya tu kama huyo wa mleta mada. Lakini nitajisahau tu. Lakini madili ya hela na washkaji huwa sisahau kabisa
Kwa kweli hayo maigizo me siwezi. Siku inapitaje kwa mfano?Eti mko kwenye mahusiano ila inapita wiki hamuwasiliani!! Hata kaka yangu tu sipitishi wiki sembuse mpenzi!!!
Yaani siku tu kupita hapana aisee, hayo mahusiano ya hivyo siyataki jamani.
Mbona unaeleweka hao stress zinawasumbua tuudu! Sasa ndio naelewa kwann nilipata F kiswahili yaan hapo nimejitahidi mno
Jitu la ivo kwanza bora uwe single ieleweke sasa unawasliana na mpenzi baada ya wiki amekuwa baba mkweWatu wanachungulia babes zao wanaendeleaje as if wanaangalia maharage waliyoyabandika jikoni. Week nzima huwasiliani na mwenzio si unaweza kuta amekufa hadi ashazikwa
Kiufupi siwezi na sitokuja kuweza kama vp na aniache tu akatafute atakayekuwa na huo muda wa kuandika txt.Na hata sio upuuzi labda km maisha bado yanakuchanganya, watu wako bize tena matajiri wenye pesa lakini hawasahau kuwajulia hali wenzi wao tena mara nyiiingi tu kwa siku
Hahahaha mbona baba mkwe. Kweli kuna definitions nyingi za mapenzi.......Jitu la ivo kwanza bora uwe single ieleweke sasa unawasliana na mpenzi baada ya wiki amekuwa baba mkwe
Nlienda kuhakiki kitambulisho changu kwa mweshimiwa km na mimi nimo😎😎
Ukikua kiakili, kifedha, kimahusiano hasa unaingia kwene ndoa utajicheka sana na hayo mawazo yako sjui uko kidato bado??Kiufupi siwezi na sitokuja kuweza kama vp na aniache tu akatafute atakayekuwa na huo muda wa kuandika txt.
Dah... mzigo anakula vizuri lakini?[emoji41]nimejitahidi mno nimeshindwa
Hahahahaha atakuwa ndio huyo huyo labdaNimechanganyikiwa, mwanaume akinipa hela ananiomba tena hela
Nimechanganyikiwa, mwanaume akinipa hela ananiomba tena hela - JamiiForums
MekupendaDuh...haya siulizi tena
Achana nae, rudisha mpira kwa kipa we we timua zako. Cha msingi uwe na sababu za kuishi hapa malazi,Chakula na mavazi.Sasa mwenzio atajuaje unaempenda jmn....hapa ninawiki naumwa nimelazwa jamaa hata kuja kuniona hamna... hata kutuma 100 ya matibabu hakuna yaan mpaka naona aibu wanaoniuguza wakiuliza mwenzio kaja inabidi niongee uongo kasafir kikazi
Nipo kidato cha ngapi? Nimesoma enzi hizo ukitumiwa barua na picha ya mpenzi nalala nayo kitandani wiki nzima. Nikienda prep naisoma hiyo tu wiki nzima. Barua tunaandika na kuchora kopa kwenye karatasi na kunyunyizia perfume. Sijui kama hata ulikuwa ushazaliwa?Ukikua kiakili, kifedha, kimahusiano hasa unaingia kwene ndoa utajicheka sana na hayo mawazo yako sjui uko kidato bado??
Kumbe bado uko kwenye stage ya wapenziNipo kidato cha ngapi? Nimesoma enzi hizo ukitumiwa barua na picha ya mpenzi nalala nayo kitandani wiki nzima. Nikienda prep naisoma hiyo tu wiki nzima. Barua tunaandika na kuchora kopa kwenye karatasi na kunyunyizia perfume. Sijui kama hata ulikuwa ushazaliwa?
Nishakuwa na wapenzi hadi nimecheka sasa hivi nawaangalia tu jinsi wanavyojidekeza.
hakupendi.Achana nae.Oa mwingineI hope mko poa guys
Naitaji ushauri hapa serious kabisa
Mimi ni mwanamke nina miaka 30 nina mchumba ambaye wazazi walishatupa ruhusa ya kuishi pamoja
Mwaka 2016 nilipata kazi ya muda mfupi katika kampuni fulani nilifanya kazi ndani ya miezi minne nilikutana na kaka ana 33 kwa a
Huyu Kaka nilimpenda sana alikuwa mtu fulan mpole hana Mambo ya ajabu ukweli nilitokea tu kuvutiwa nae. Nikafanya juhudi tukawa marafiki wa karibu, kusaidiana mambo mbalimbali haikupita muda tukawa tumeanza mahusiano ya kimapenzi
Uzuri jamaa alikuwa hayupo katika mahusiano serious, alikua na mwanamke ambae walikua hawafahamiani aliunganishiwa na jamaa tu so wakawa na mapenzi ya kwenye simu
Baada ya miezi 6 jamaa akanipeleka kwao kunitambulisha ilikua Desemba mwaka jana, Februaru mwaka huu alihamishwa mkoa mwingine kikazi nami nikaacha pale nikaanza biashara zangu binafsi. March akaja nyumbani kwetu kujitambulisha, Juni kupanga na kutoa mahari.
Oktoba Wazazi pande zote mbili walikutana kupanga mambo ya ndoa, wazazi wake wakaomba tuchukuane tu kwa sasa hawana uwezo tutafunga ndoa mwaka kesho. Hii ni sawa kwa jamii ya wasukuma wa kijijin kwani huamini ukishamtolea mahari mwanamke tayari wanakuja kumchukua. Familia yangu ikakubali
Kilichonileta kwenu
Baada ya kukaa kiuchumba na jamaa nilikua nahisi hanipendi tangu kabla hajanipeleka kwao nikawa najiondoa kwake ajabu nikikaa nae nikimwambia tuachane hakubali kabisa anaweza hata jitupa chini akibembeleza nisimuache
Nikimuangalia ni mtu ambae haoneshi kama ananipenda anaweza kaa siku 1 au 2 bila kunipigia. Ninaweza pata shida kunisaidia akawa mzito mno. Ni mtu ambaye hajali unaumwa, umepata matatizo unaishi vipi haelewi
Mwanzo nilihisi labda anamahusiano mengine lakini nilifanya uchunguzi sikubaini hicho. Mi nampenda najikuta naumia nahitaji kupata attention yake, muda wake, nilishaongea nae sana. Ni mtu ambae hata kuniambia nakupenda au nimekumiss au kuniita tu mpenzi wangu ni ngumu labda muwe kitandani kapandwa na hisia anaweza fanya hivyo au muwe mna ugomvi anakubembeleza au ndio mmeelewana
Atafanya hivyo for 2 days then anarudi katika hali yake
Nilishaongea nae kama hanipendi nimeshamuomba aniache niumie badae nitazoea hataki. Kuna kipindi nilimwambia aniache tu atafute mwanamke anaempenda na nikamchunia kweli
Aliteseka sana alinitafutia washauri sio ndugu zake, rafiki zake na zangu. Nashindwa kuelewa nitaishije na huyu mtu jamani. Sielewi ni maumbile yake yuko hivi, makuzi au tu hanipendi!.oa mwingine
Amekulia kijijini hasa tena hasa nashindwa kuelewa labda ndivyo alivyo. Nawaza labda yupo kwangu kimaisha tu sababu yeye ana kazi nzuri mshahara mkubwa lakini familia ya kwao inamuelemea ukoo mzima unamtegemea yeye
Mimi kipato changu kidogo kwake lakini nina maendeleo kidogo namzidi na ninafanya vitu vya msingi. Nahisi labda jamaa amefata maisha!
Wadau samahani kwa kuwachosha naombeni mawazo yenu