Msaada: Mwanaume ninayeishi naye haoneshi kunipenda na hataki tuachane

Hiyo ni tabia yetu watu wa Kanda ya ziwa hasa sisi wakurya....! Sio kwamba hatupendi ila ndivyo tulivyoumbwa
 
Wewe kwa sasa kwa tulia jamaa anakupenda ndio maana mko kwenye mahusiano na wazazi wemeridhia,pia usisahau huyo jamaa ni wa mkoani hana mbwembwe kama wa sisi wa dar,,nadhani umenielewa,,I love u baby,sweet, na majina kibao ya kimahaba na malove bite shingoni ukiyata rudi dar,,,mkoani utakonda bure
 
Kwa umi wako huo,kama uko romantic sijaona tatizo la mwanaume.
 
Mama ndivyo tulivyo.
Kuna mwenzio mpaka ananiogopa maana muda wote nimenuna.na kuwa na hasira.na majibu ninayomjibu uwa anajuta.
na ninao wanne wote mwendo ndo huo huo.
Uwa simtafuti mtu wanaanza wenyewe.
Kwa hyo tuvumilie tu.ila akianza kukupiga hyo ni hatua nyingine
 
Anakupenda sema hayupo Romantic.. Wapo Guys type iyo..thread yako inaonesha untakana attention tu
 
Yaan jf bhan jamaa kutulia
Uko hajui Kama anajadiliwa na watu zaid yae100 juu ya matatizo yake [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ukute na yeye yupo ila ajitambui pengine naye anachangia mada
 
Mh! Mara hakujali ukimwomba msaada, mara kipato chake kidogo kushinda chako, mara hakuiti bebi!!! Haya ni madhara ya kuolewa katika umri mdogo, ulitakiwa ule maisha kwanza uitwe bebi utumiketumike na watu kadhaa ujue kwamba mtu anaweza akakuita bebi na shida yake ikawa K tu, akili ikikaa kiutu uzima ndiyo unaolewa sasa.
 
Huyo jamaa anakupenda ila hayo ni maumbile yake yupo hivo sio mtu wa kuongea jitahidi kua nae mtaishi kwa aamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…