X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
-
- #281
KWELI...kabisa...ndugu yangu hawa mafisiem wameturudisha utumwani haki vile...Inauma sana nikisoma huu uzi. Sijui ma'CCM yakisoma yanajisikiaje kuona watoto wa taifa hili teule wanaondoka kwenda ughaibuni kutafuta maisha tena kwa kuanzia chini kabisa wakati nchi hii ina kila kitu.
Unatakiwa kuwa mwanaharamu kuisapoti CCM.
ivi inawezena enh...kiukweli mademu wa kikenya hata...mimi nawaelewaga sanaMafala wale hawajiaminigi tu. Hakuna cha kuwakosea wala nini. Ila jambo zuri ni kuwa dada zao wanatukubali kinoma. Tukijitambulisha tu wanaloana.
Ni niwapi huko mkuu?, Na vigezo vp wanahitaji?Kama upo serious nenda kajiunge jeshi,France legion wanaachukua mtu yoyote duniani tafuta tu nauli na visa ya france uende wanakupokea vizuri unakula bure na accomodation unapata,muhimu uwe mtu wa mazoezi
France wana jeshi linaitwa legion,hua wanachukua mtu yoyote yule,muhimu ni wewe kufika tu France unaenda ofisi zao zipo Paris na Aubagne. Hawana vigezo pale ni wewe kufika tu,ukifika unapewa sehemu ya kulala na chakula bure, unasubiria entry tests,amabazo ni nyingi kuanzia medical test,physical test na mengineyo ukipita test zote unapewa mkataba miaka mitano unakua mwanajeshi afu wanalipa vizuri kuanzia million 3 hadi 5 per month,ila uwe tayari kuhimili ubaguziNi niwapi huko mkuu?, Na vigezo vp wanahitaji?
Kwa mpambanaji ubaguzi syo kesi sna ili mradi upate haki yako, sasa mkuu vp kuhusu visa ya kufika huko France maana kupata hyo visa ya visiting ni ishu alafu visiting visa si hawalahusiwi kufanya kazi ?, Je itakuwaje?France wana jeshi linaitwa legion,hua wanachukua mtu yoyote yule,muhimu ni wewe kufika tu France unaenda ofisi zao zipo Paris na Aubagne. Hawana vigezo pale ni wewe kufika tu,ukifika unapewa sehemu ya kulala na chakula bure, unasubiria entry tests,amabazo ni nyingi kuanzia medical test,physical test na mengineyo ukipita test zote unapewa mkataba miaka mitano unakua mwanajeshi afu wanalipa vizuri kuanzia million 3 hadi 5 per month,ila uwe tayari kuhimili ubaguzi
Hyo program unaweza kupatiwa maelezo na maelekezo ktk ubalozi wao?France wana jeshi linaitwa legion,hua wanachukua mtu yoyote yule,muhimu ni wewe kufika tu France unaenda ofisi zao zipo Paris na Aubagne. Hawana vigezo pale ni wewe kufika tu,ukifika unapewa sehemu ya kulala na chakula bure, unasubiria entry tests,amabazo ni nyingi kuanzia medical test,physical test na mengineyo ukipita test zote unapewa mkataba miaka mitano unakua mwanajeshi afu wanalipa vizuri kuanzia million 3 hadi 5 per month,ila uwe tayari kuhimili ubaguzi
Visa unachukua ya tourist visa au ya short stay,yan muhimu ufike tu France,pale ubalozi wao Tanzania sidhan kama watakukubalu ukiwaambiwa direct nataka niende jeshi,bora uchukue tourist Visa afu ukifika France unaingia zile centers ukishaingia unakua chini yao kwaio hio Visa haitamatter tena ukishaingiaKwa mpambanaji ubaguzi syo kesi sna ili mradi upate haki yako, sasa mkuu vp kuhusu visa ya kufika huko France maana kupata hyo visa ya visiting ni ishu alafu visiting visa si hawalahusiwi kufanya kazi ?, Je itakuwaje?
Wacha vijana waishe wabaki wazee watozane vizuriInauma sana nikisoma huu uzi. Sijui ma'CCM yakisoma yanajisikiaje kuona watoto wa taifa hili teule wanaondoka kwenda ughaibuni kutafuta maisha tena kwa kuanzia chini kabisa wakati nchi hii ina kila kitu.
Unatakiwa kuwa mwanaharamu kuisapoti CCM.
Ahsante , alafu nimeona wana walenga watu wa EU , Sasa kwa sisi wa Africa ikoje?, Hawawezi waka ku deport kisa umetoka Africa?Visa unachukua ya tourist visa au ya short stay,yan muhimu ufike tu France,pale ubalozi wao Tanzania sidhan kama watakukubalu ukiwaambiwa direct nataka niende jeshi,bora uchukue tourist Visa afu ukifika France unaingia zile centers ukishaingia unakua chini yao kwaio hio Visa haitamatter tena ukishaingia
Hamna wanachukua Mtu yoyote hawajali umetokea wapi,ni nchi mbili tu ndo zinafanya hivi France naa Russia hawabagui mtu ukifika tu wanakuchukua muhimu uwe mtu wa zoezi ili upite test zaoAhsante , alafu nimeona wana walenga watu wa EU , Sasa kwa sisi wa Africa ikoje?, Hawawezi waka ku deport kisa umetoka Africa?
Hahaha hahaha! Unapelekwa vita unafia hukoKama upo serious nenda kajiunge jeshi,France legion wanaachukua mtu yoyote duniani tafuta tu nauli na visa ya france uende wanakupokea vizuri unakula bure na accomodation unapata,muhimu uwe mtu wa mazoezi
Mimi ni mtu wa mazoezi ya gym, nimejazia si hapa!. Sasa naipataje visa mtu wangu, bora kufia Ulaya tuHamna wanachukua Mtu yoyote hawajali umetokea wapi,ni nchi mbili tu ndo zinafanya hivi France naa Russia hawabagui mtu ukifika tu wanakuchukua muhimu uwe mtu wa zoezi ili upite test zao
😂😂Sawa visa rahisi unaomba Tourist Visa ya short stayMimi ni mtu wa mazoezi ya gym, nimejazia si hapa!. Sasa naipataje visa mtu wangu, bora kufia Ulaya tu
Nimesoma mwongozo wao very interested! Labda niambie visa bei gani, nauli ya ndege bei gani na hotel za kufikia kwa siku bei gani huko Paris, assimilation method?.[emoji23][emoji23]Sawa visa rahisi unaomba Tourist Visa ya short stay
Unajua kifaransa lakini??... Ukifika msalimie messi mwambie mtaani tunampenda LewandowskiNimesoma mwongozo wao very interested! Labda niambie visa bei gani, nauli ya ndege bei gani na hotel za kufikia kwa siku bei gani huko Paris, assimilation method?.
Mwongozo wanasema sio lazima ujue Kifaransa. Unatakiwa ujue kusoma na kuandika lugha mama (native language)Unajua kifaransa lakini??... Ukifika msalimie messi mwambie mtaani tunampenda Lewandowski
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Nimependa huu mjadala. Mimi pia mmoja wa watafuta ajira hasa Dubai. Dubai kwa sababu girlfriend yupo huko. Nimeanza kutafuta connection 2019. Agent wengi Bongo nishaongea nao. Hela watataja ni kubwa sana 1000 USD. Kuna mmoja nilimpata akapunguza ikawa 800 USD. Nilikubali akaanza process matokeo yake aliniibia Tsh 50,000/= aliniomba kwa ajili ya kuombea vibali Zanzibar sababu aliniambia lazima upitie Zanzibar kwa urahisi zaidi.
Yupo pia urgent wa Kenya huyo sio tapeli nimekuwa nikiwasiliane naye tangu 2019 kipindi Corona imepamba moto. Akawa anasema kwa sasa hakuna kazi. 2021 akapata urgent akasema nilipie 150k +15k kitu kama hicho msg ninazo.
Nimekuwa nijifunza sana kwa namna gani naweza kupata kazi na kufanya kazi huko Dubai hasa ya security sababu nilipata habari toka kwa girlfriend wangu kuwa kazi ya security dubai haitesi sana kama kazi zingine za helps.
Sasa kuna rafiki yangu kaniunganisha kwa rafiki yake ambaye atanipokea huko Dubai. Natafuta nauli mpaka Aprili nitakuwa dubai.
Vitu alivyoniambia muhimu kupata kazi ya security dubai
1. Passport travel
2. Passport size
3. cv one page
4. SIRA hii ni leseni unasoma huko Drm 1730
5. Uzoefu muhimu pia
6. Police clearance report utoke nayo huku
7. Medical clearance report utoke nayo
8. Hela ya mtumizi
Niongea kifupi kidogo. Ahsante
asante sana kwa ufafanuzi mzuri.....kiukweli kwa zanziba njia ya kuzamia nje ipo wazi sana...pia kenya ila...wakenya awana imani na watz sijui tuliwakoseaga nini
mkuu ukiwa na passport hakuna mtu atakuzuia kwenda dubai,unawaambia tu unakwenda kama mtalii au unakwenda semina tu wanakuruhusu unakwea pipa hakuna habari sijui za kupitia kenya wala nini.
Na pia habari za agents achana nazo ni stressful sana,ukitumia agents kuna changamoto zifuatazo.
1.kuna kuliwa pesa na kazi usipate
2.Kuna kuliwa pesa na kupatiwa kazi ya ajabu ambayo hutoipenda na wakati huo utakuwa kifungoni hutoruhusiwa kuacha mpaka baada ya muda fulani upite.
So ni bora uende mwenyewe ukatafutie huko huko kazi uipendayo.
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Tourist visa ya siku 90 ni Dola 100,nauli from dar to france andaa Dola 950 na kuendelea,afu hotels zao hazina gharama sana cheap ones zipo dola 23,30 per nightNimesoma mwongozo wao very interested! Labda niambie visa bei gani, nauli ya ndege bei gani na hotel za kufikia kwa siku bei gani huko Paris, assimilation method?.