Msaada mwenye connection ya ajira nchi za Kiarabu

Msaada mwenye connection ya ajira nchi za Kiarabu

Nimependa huu mjadala. Mimi pia mmoja wa watafuta ajira hasa Dubai. Dubai kwa sababu girlfriend yupo huko. Nimeanza kutafuta connection 2019. Agent wengi Bongo nishaongea nao. Hela watataja ni kubwa sana 1000 USD. Kuna mmoja nilimpata akapunguza ikawa 800 USD. Nilikubali akaanza process matokeo yake aliniibia Tsh 50,000/= aliniomba kwa ajili ya kuombea vibali Zanzibar sababu aliniambia lazima upitie Zanzibar kwa urahisi zaidi.
Yupo pia urgent wa Kenya huyo sio tapeli nimekuwa nikiwasiliane naye tangu 2019 kipindi Corona imepamba moto. Akawa anasema kwa sasa hakuna kazi. 2021 akapata urgent akasema nilipie 150k +15k kitu kama hicho msg ninazo.
Nimekuwa nijifunza sana kwa namna gani naweza kupata kazi na kufanya kazi huko Dubai hasa ya security sababu nilipata habari toka kwa girlfriend wangu kuwa kazi ya security dubai haitesi sana kama kazi zingine za helps.
Sasa kuna rafiki yangu kaniunganisha kwa rafiki yake ambaye atanipokea huko Dubai. Natafuta nauli mpaka Aprili nitakuwa dubai.
Vitu alivyoniambia muhimu kupata kazi ya security dubai
1. Passport travel
2. Passport size
3. cv one page
4. SIRA hii ni leseni unasoma huko Drm 1730
5. Uzoefu muhimu pia
6. Police clearance report utoke nayo huku
7. Medical clearance report utoke nayo
8. Hela ya mtumizi
Niongea kifupi kidogo. Ahsante
asante sana kwa ufafanuzi mzuri.....kiukweli kwa zanziba njia ya kuzamia nje ipo wazi sana...pia kenya ila...wakenya awana imani na watz sijui tuliwakoseaga nini
 
pass haipo mbali kutoka...nilishafanya applicationa nadhani Mungu akipenda kuanzia wiki ijayo naweza kuiweka mkononi...kama nafasi ipo kiongozi ebu nishike mkono...na mimi niweze kujikimu
Mimi pia niende zangu Sweden
 
pass haipo mbali kutoka...nilishafanya applicationa nadhani Mungu akipenda kuanzia wiki ijayo naweza kuiweka mkononi...kama nafasi ipo kiongozi ebu nishike mkono...na mimi niweze kujikimu
Nafikiri ni vizuri kwenda visit visa lako tu, maana ukiwa kule utapata kazi aghalau ipo maslahi kuliko kusafirishwa na urgent.
Urgent sio wazuri sana, watz sio wengi lakini sababu kubwa ni uoga na sheria pia inabana sababu hurusiwi kwenda kufanya kazi nje ya nchi.
 
pass haipo mbali kutoka...nilishafanya applicationa nadhani Mungu akipenda kuanzia wiki ijayo naweza kuiweka mkononi...kama nafasi ipo kiongozi ebu nishike mkono...na mimi niweze kujikimu
Mim nipo Tz ndugu ila chá muhimu passport ikiwa mkononi unakuwa unajiamini unabakiza kutafuta chansi
 
Nimependa huu mjadala. Mimi pia mmoja wa watafuta ajira hasa Dubai. Dubai kwa sababu girlfriend yupo huko. Nimeanza kutafuta connection 2019. Agent wengi Bongo nishaongea nao. Hela watataja ni kubwa sana 1000 USD. Kuna mmoja nilimpata akapunguza ikawa 800 USD. Nilikubali akaanza process matokeo yake aliniibia Tsh 50,000/= aliniomba kwa ajili ya kuombea vibali Zanzibar sababu aliniambia lazima upitie Zanzibar kwa urahisi zaidi.
Yupo pia urgent wa Kenya huyo sio tapeli nimekuwa nikiwasiliane naye tangu 2019 kipindi Corona imepamba moto. Akawa anasema kwa sasa hakuna kazi. 2021 akapata urgent akasema nilipie 150k +15k kitu kama hicho msg ninazo.
Nimekuwa nijifunza sana kwa namna gani naweza kupata kazi na kufanya kazi huko Dubai hasa ya security sababu nilipata habari toka kwa girlfriend wangu kuwa kazi ya security dubai haitesi sana kama kazi zingine za helps.
Sasa kuna rafiki yangu kaniunganisha kwa rafiki yake ambaye atanipokea huko Dubai. Natafuta nauli mpaka Aprili nitakuwa dubai.
Vitu alivyoniambia muhimu kupata kazi ya security dubai
1. Passport travel
2. Passport size
3. cv one page
4. SIRA hii ni leseni unasoma huko Drm 1730
5. Uzoefu muhimu pia
6. Police clearance report utoke nayo huku
7. Medical clearance report utoke nayo
8. Hela ya mtumizi
Niongea kifupi kidogo. Ahsante
Hiyo leseni ya SIRA naipata wapi mkuu maana bongo hakuna
 
asante sana kwa ufafanuzi mzuri.....kiukweli kwa zanziba njia ya kuzamia nje ipo wazi sana...pia kenya ila...wakenya awana imani na watz sijui tuliwakoseaga nini
Embu nipe ufafanuzi kidogo mkuu hapo unaposema kuwa ni rahisi kuzamia njee kupitia zanzibar hizo njia zimekaaje
 
Nafikiri ni vizuri kwenda visit visa lako tu, maana ukiwa kule utapata kazi aghalau ipo maslahi kuliko kusafirishwa na urgent.
Urgent sio wazuri sana, watz sio wengi lakini sababu kubwa ni uoga na sheria pia inabana sababu hurusiwi kwenda kufanya kazi nje ya nchi.

Mbona mnatuchanganya Wasomaji!!? hivi ni Urgent au Agent 🥱
 
Nafikiri ni vizuri kwenda visit visa lako tu, maana ukiwa kule utapata kazi aghalau ipo maslahi kuliko kusafirishwa na urgent.
Urgent sio wazuri sana, watz sio wengi lakini sababu kubwa ni uoga na sheria pia inabana sababu hurusiwi kwenda kufanya kazi nje ya nchi.
mkuu ukiwa na passport hakuna mtu atakuzuia kwenda dubai,unawaambia tu unakwenda kama mtalii au unakwenda semina tu wanakuruhusu unakwea pipa hakuna habari sijui za kupitia kenya wala nini.
Na pia habari za agents achana nazo ni stressful sana,ukitumia agents kuna changamoto zifuatazo.
1.kuna kuliwa pesa na kazi usipate
2.Kuna kuliwa pesa na kupatiwa kazi ya ajabu ambayo hutoipenda na wakati huo utakuwa kifungoni hutoruhusiwa kuacha mpaka baada ya muda fulani upite.
So ni bora uende mwenyewe ukatafutie huko huko kazi uipendayo.


Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Nimependa huu mjadala. Mimi pia mmoja wa watafuta ajira hasa Dubai. Dubai kwa sababu girlfriend yupo huko. Nimeanza kutafuta connection 2019. Agent wengi Bongo nishaongea nao. Hela watataja ni kubwa sana 1000 USD. Kuna mmoja nilimpata akapunguza ikawa 800 USD. Nilikubali akaanza process matokeo yake aliniibia Tsh 50,000/= aliniomba kwa ajili ya kuombea vibali Zanzibar sababu aliniambia lazima upitie Zanzibar kwa urahisi zaidi.
Yupo pia urgent wa Kenya huyo sio tapeli nimekuwa nikiwasiliane naye tangu 2019 kipindi Corona imepamba moto. Akawa anasema kwa sasa hakuna kazi. 2021 akapata urgent akasema nilipie 150k +15k kitu kama hicho msg ninazo.
Nimekuwa nijifunza sana kwa namna gani naweza kupata kazi na kufanya kazi huko Dubai hasa ya security sababu nilipata habari toka kwa girlfriend wangu kuwa kazi ya security dubai haitesi sana kama kazi zingine za helps.
Sasa kuna rafiki yangu kaniunganisha kwa rafiki yake ambaye atanipokea huko Dubai. Natafuta nauli mpaka Aprili nitakuwa dubai.
Vitu alivyoniambia muhimu kupata kazi ya security dubai
1. Passport travel
2. Passport size
3. cv one page
4. SIRA hii ni leseni unasoma huko Drm 1730
5. Uzoefu muhimu pia
6. Police clearance report utoke nayo huku
7. Medical clearance report utoke nayo
8. Hela ya mtumizi
Niongea kifupi kidogo. Ahsante
Achana na habari za agents wanakulia pesa zako kwa ujanja mdogo sana.
mkuu ukiwa na passport hakuna mtu atakuzuia kwenda dubai,unawaambia tu unakwenda kama mtalii au unakwenda semina tu wanakuruhusu unakwea pipa hakuna habari sijui za kupitia kenya wala nini.
Na pia habari za agents achana nazo ni stressful sana,ukitumia agents kuna changamoto zifuatazo.
1.kuna kuliwa pesa na kazi usipate
2.Kuna kuliwa pesa na kupatiwa kazi ya ajabu ambayo hutoipenda na wakati huo utakuwa kifungoni hutoruhusiwa kuacha mpaka baada ya muda fulani upite.
So ni bora uende mwenyewe ukatafutie huko huko kazi uipendayo.


Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
pass haipo mbali kutoka...nilishafanya applicationa nadhani Mungu akipenda kuanzia wiki ijayo naweza kuiweka mkononi...kama nafasi ipo kiongozi ebu nishike mkono...na mimi niweze kujikimu
Hongera nilijua bado kuhusu passport nikuunge na mtu siku 3 unachukua

Sent from my CPH1933 using JamiiForums mobile app
 
Kama upo serious nenda kajiunge jeshi,France legion wanaachukua mtu yoyote duniani tafuta tu nauli na visa ya france uende wanakupokea vizuri unakula bure na accomodation unapata,muhimu uwe mtu wa mazoezi
 
asante sana kwa ufafanuzi mzuri.....kiukweli kwa zanziba njia ya kuzamia nje ipo wazi sana...pia kenya ila...wakenya awana imani na watz sijui tuliwakoseaga nini
Mafala wale hawajiaminigi tu. Hakuna cha kuwakosea wala nini. Ila jambo zuri ni kuwa dada zao wanatukubali kinoma. Tukijitambulisha tu wanaloana.
 
Nafikiri ni vizuri kwenda visit visa lako tu, maana ukiwa kule utapata kazi aghalau ipo maslahi kuliko kusafirishwa na urgent.
Urgent sio wazuri sana, watz sio wengi lakini sababu kubwa ni uoga na sheria pia inabana sababu hurusiwi kwenda kufanya kazi nje ya nchi.
Urgent = Haraka au dharula

Agent = Wakala.
 
Inauma sana nikisoma huu uzi. Sijui ma'CCM yakisoma yanajisikiaje kuona watoto wa taifa hili teule wanaondoka kwenda ughaibuni kutafuta maisha tena kwa kuanzia chini kabisa wakati nchi hii ina kila kitu.

Unatakiwa kuwa mwanaharamu kuisapoti CCM.
 
Back
Top Bottom