X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
- #221
d
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaman wenye connection tunaomba tuko wengi passport mimi ninayoasante sana ubarikiwe sana kijana
Nimekaa nikafikilia maisha yamenipiga, kazi niliyokuwa nayo haikidhi kabisa mahitaji yangu ya kila siku, nina mke, nina mtoto, ninao ndugu wanao nitegemea, baba, mama na wadogo zangu mbaya zaidi mimi ndie kaka mkubwa wa familia, najiona kabisa nimeanguka, najiona napoteza uelekeo kila kukicha, nimekuja humu najua kuna watu wa hadhi na kariba tofauti tofauti, maana waswahili husema "mficha maradhi kifo humuumbua"
Nimehangaika kutafuta kazi, ni kweli nipo kwenye kazi ambayo mshahala ni 250k baada ya makato, huo mshahala unanifanya niishi kwa madeni hata kabla sijaupokea unakuwa teyari umeshaisha, sasa ndugu zangu kwa umri wangu huu 25+ najiona kabisa ndoto zangu hazitotimia, nikiwa na akili timamu ninaomba kwa yeyote mwenye connection ya ajira, ata ya ULinzi, na nyinginezo kwenye nchi za kiarabu haswa Doha, Qatar anisaidie pengine huko maslahi yanaweza kuongezeka.
Nimejaribu kufuatilia kwenye mitandao nakutana na maagency ambao wapo nchi za jirani inakuwa ngumu kwangu kuwafikia kwani wengi wao wapo Kenya ama Uganda.
Ndugu zanguni ni matumaini yangu kilio changu kiapatiwa ufumbuzi.
Elimu yangu ni ya kidato cha nne, sijasoma kihivyo ila ujinga wa kuelewa kingereza kidogo nimeuondoa hivyo ninaweza kingereza japo si sana.
VILE VILE mimi ni dereva wa magari...mwenye leseni yenye daraja A, A2, B, C1, C2, C3, D, E
bado natafuta
Hiyo yellow fever card siyo kikwazo kwako. Tambua umeshapata sasa wew songa mbeleKiongozi mimi passport ninayo, na mkwanja unaweza kupatikana. Hizo picha mbili siyo issue. Yellow fever card kama mchongo wa uhakika itapatikana.
Mkuu kila kitu naweza kukipata, nahitaji connection ya hao madalali. Hata kenya naweza kufika maana mara nyingi sana huwa naenda sirari, so kuvuka siyo issue.
Jaribu kumcheck huyu mdau at your own risk mana hata mimi simjui nilipewa namba tu kitambo sanabado natafuta.....jamani mwenye connection...
[emoji849][emoji102] tuwe serious !!Ofisi ni mahali mtu aliposimama
Mtu yuko serious anatafuta kazi wengine wanaongea utumbo tuu na kukatisha watu tamaa[emoji849][emoji102] tuwe serious !!
nchi za kiarabu inakuwa poua zaidiDoha ni nchi gan Mkuu
huko sijafuatilia...nilichogundua ni kuwa nchi za kiarabu zinamalipo mazuri...ila ni kujitoa muhanga nchi hizo zina joto kali kupita kiasiVipi kuhusu iraq ulifatilia maisha yao yapoje na Maisha kiujumla
kulikoni tena kiongoziAiseeeé..
Nimejifunza mambo mengi Sana ktk huu uzi Mkuu.. sina mpango wa kwenda kuishi nje ya nchi ila huu uzi ukiugeuzageuza ni darasa tosha.kulikoni tena kiongozi
kweli kaka...ila hapa duniani kuna viumbe vinataabika sana...nilitaabika nikaja na wazo la kuikimbia nchi yangu ndo kama hivyo unavyoona bado nipo darasani najifunza...na mimi mtoa mada najifunza kupitia uzi huuNimejifunza mambo mengi Sana ktk huu uzi Mkuu.. sina mpango wa kwenda kuishi nje ya nchi ila huu uzi ukiugeuzageuza ni darasa tosha.
nchi za uarabuni huko...ndugu yake Qatar huyoDoha ni nchi gan Mkuu
Qatar [emoji1203] ni NCHI DOHA ndio mji mkuu wakenchi za uarabuni huko...ndugu yake Qatar huyo
asante kwa masahihisho kiongoziQatar [emoji1203] ni NCHI DOHA ndio mji mkuu wake