OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Labda jamaa bapo atupe jibu mkuu.OllaChuga Oc hayo malipo unalipa kwa mkupuo au kidogo kidogo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda jamaa bapo atupe jibu mkuu.OllaChuga Oc hayo malipo unalipa kwa mkupuo au kidogo kidogo?
Visa na ticket ni Bure hiyo pesa ni ya agent na Mhindi aliyepo Chini ya mwarabu ndio deal zaoHizo dollar 1500 ni pamoja na ticket, visa, passport kwa asiyekuwa nayo, hotel na malipo ya agent?
Tueleweshe mkuu, watu tumedhamiria kusepa kabisa. Bongo michosho sana
Mkuu nimekupm mbona umekausha aise..Mkataba unaanza na miaka miwili ila Kuna option ya miaka tano ni hiyari kusign kila baada ya miaka miwili unapewa tiketi ya kwenda na kurudi
Basi mkuu tuelekeze agent anapatikana kenya sehem gani, watu tuanze michakato fasta. Kwa huu ugum wa life la bongo bora nitoe 3+ m nipate kazi hakuna namnaMkataba unaanza na miaka miwili ila Kuna option ya miaka tano ni hiyari kusign kila baada ya miaka miwili unapewa tiketi ya kwenda na kurudi
Daah, mkuu tuelekeze fresh, au unaweza ni pm kwa anuani zaidi, contacts maana hata kenya sikujui.Yuko Westland nairobi
Amwage data zote apa pm hamna haja wote wanataka chomoka tzDaah, mkuu tuelekeze fresh, au unaweza ni pm kwa anuani zaidi, contacts maana hata kenya sikujui.
Mkuu tupe details za huyo Agent vizuri..Anataka cash ila gharama zilizobaki zote anabeba mwajiri wako including flight tickets and accommodation kulala na usafiri wa kwenda kazini na kurudi
Mkuu umefikia wap adi hv sasa passport ushaipatabado nahangaika kutafuta
ndio...kamandaMkuu umefikia wap adi hv sasa passport ushaipata
ndio...kamanda
ningekuwa nayo hiyo wallahi nisinge tafuta ajira...ungekuwa mtaji tosha...hapa hapa bongo ningekomaaDollar 1500 unayo? Kuna jamaa alisema dollar hizo unapata mchongo japo yeye alipitia kenya
Sasa mkuu tufanye kitu gani? Mwenyewe abroad napataka, na ndo kwanza hapa nina dollar 1 tu. Me ngoja nikomae nipate pesa niamshe. Hata nikipata 10m nasepa maana hizi TOZO kwa sasa ni ngumu kutoboa kama ndo unaanza. Kwa walioanza kitambo angalauningekuwa nayo hiyo wallahi nisinge tafuta ajira...ungekuwa mtaji tosha...hapa hapa bongo ningekomaa
Sisi tuliopata johnson johnson haturusiwi kusafiri kwenda UAE?View attachment 1889086
hizi chanjo ni lazima...?