Msaada mwenye connection ya ajira nchi za Kiarabu

Nimeishi nje ya Tz ki madomo miaka 6 sikuwahi kufurahia kuwa nje ya nchi yangu. Mbaya zaidi nlirudi tz mara moja tu nlipomaliza diploma nikarudi kudoma degree sikurudi tz hadi nlipomaliza. Binafsi sipendi kuishe sehem tofauti na tanzania
 
sio Dola 2330,apo katikati nimeweka mkato,meaning ni Dola 23 mpaka dola 30 Thats cheap
Hujaweka kodi, wenzetu mgeni kwao ananyanyasika sana. Kibali cha kazi unakilipia hela ndefu balaa tofauti wao wakija huku wanaolipa kibali ni mabosi wakubwa wenzetu na mm wanakula kitonga tu
 
Hujaweka kodi, wenzetu mgeni kwao ananyanyasika sana. Kibali cha kazi unakilipia hela ndefu balaa tofauti wao wakija huku wanaolipa kibali ni mabosi wakubwa wenzetu na mm wanakula kitonga tu
utalipaje kodi uku umenda kama tourist,na ukishaingia kwenye legion unakua kama france citizen
 
utalipaje kodi uku umenda kama tourist,na ukishaingia kwenye legion unakua kama france citizen
hio connection nimeifuatilia kw a umakini lakini tatizo ni kuwa wakikukataa itakauwaje? maana wana vigezo vyao
 
Ume wafafanulia vzr sana vijana na huu ndio utaratibu mzuri, nadhani huwez kukosa kazi ya mkataba ktk miez yote mi 3 ulio pewa, lkn ungetoa na makadirio ya budget mtu awe na kiasi gani, kuna mtu mmoja alifafanua vzr sana njia hii anaitwa @Piret.....ila na hii Covid nayo tyr ina zingua

 
0718 iko
vizuri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…