Gpili
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,180
- 2,083
Mkuu fanya tuonane tupeane Michongo ya kazi nipo makorora apaWakulungwa kweli amekosekana wa kunishika mkono
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu fanya tuonane tupeane Michongo ya kazi nipo makorora apaWakulungwa kweli amekosekana wa kunishika mkono
mimi nipo hapa msikiti wa makuti njia ya kwenda mwahako....Mkuu fanya tuonane tupeane Michongo ya kazi nipo makorora apa
Wakulungwa sasa mmedhamiria kuonana kabisa. Usalama upo hukomimi nipo hapa msikiti wa makuti njia ya kwenda mwahako....
Sote watafutaji tu na tupo mkoa mmojaWakulungwa sasa mmedhamiria kuonana kabisa. Usalama upo huko
kwanini usalama usiwepo...tujaribu kujiamini na kuamini mitandao watu wema wapo...!Wakulungwa sasa mmedhamiria kuonana kabisa. Usalama upo huko
sikufanikiwa ndioBado ujafanikiwa kuwa polisi?
Kuwa makini mkuu, huu uzi ulitaka kunisababishia kipigo kutoka kwa member flani. Ni tapeli pro max, kaa chonjosikufanikiwa ndio
Unataka kumfanikishia?Bado ujafanikiwa kuwa polisi?
Pole saana ..pambana usichokesikufanikiwa ndio
Mimi Sina musaada wowote naweza mupatia.Unataka kumfanikishia?
asante kwa tahadhali...pole kwa yaliyotaka kukukuta...japo naamini wako watu wenye roho nzuri humuKuwa makini mkuu, huu uzi ulitaka kunisababishia kipigo kutoka kwa member flani. Ni tapeli pro max, kaa chonjo
mpaka ivi sasa nimepata marafiki wawili wapo sehemu tofauti huko gulf ivyo nipo kwenye hatua ya kwanza ya kutafuta passpot ya kusafilia...
Habari,naomba na mimi mwenye mchongo wa kazi dubai anisaidie nina shahada ya ualim 0752026065kazi gani unataka uarabuni?njoo inbox nikupe mchongo wa kazi Dubai International Airport ni semi skilled job(Airport cleaner,na Airport porter
Habari,naomba na mimi mwenye mchongo wa kazi dubai anisaidie nina shahada ya ualim 0752026065
Sweden, kwa ke nirahisi sana.Mimi pia niende zangu Sweden
Nipange
Nauli passport agent fee
Kodi kule Mpaka upate kaz