eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
😹😹😹 acha masihara sometimes kwenye mambo muhimu
Kimataifa maana yake nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😹😹😹 acha masihara sometimes kwenye mambo muhimu
Quora ila upuuzi mwingiQuora!
Quora ila upuuzi mwingi
Unakuta watu wanaeleze walivosex na baba mkwe
Eti sex with father in law experience.wahindi wapuuzi mno
Jf ina members laki sita. Watu sita peke yake ni Wakenya, waliobaki wote ni Watanzania. sasa hio ndio inayokupa kiburi ya kujiita 'Kimataifa'?Kimataifa maana yake nini?
I'm from LuxembourgJf ina members laki sita. Watu sita peke yake ni Wakenya, waliobaki wote ni Watanzania. sasa hio ndio inayokupa kiburi ya kujiita 'Kimataifa'?
Si hajui kiswahili atakua anajua kinaija kireno kituruki na kiinglishiKama kuandika kiswahili tu mgogoro huko kwenye forum za kingereza unaenda kuandika nini?
😂 😂 😂 😂 😂😹😹😹 acha masihara sometimes kwenye mambo muhimu
Nashukuru sana mkuu. Nimeshajiunga na Reddit, Nairaland na Quora.Redit, linkin, nairaland,quora
Kumbe ya wahindi Ile?Quora ila upuuzi mwingi
Unakuta watu wanaeleze walivosex na baba mkwe
Eti sex with father in law experience.wahindi wapuuzi mno
Salaam!
Naomba mwenye ufahamu anijuze mtandao ulio kama JamiiForums katika ngazi ya Kimataifa, usihusishe Facebook, Twitter, na Instagram.
Ninapendelea forums zenye mijadala fikirishi, yaani, yenye mada zinazojenga ufahamu mzuri.
Asante.
Salaam!
Naomba mwenye ufahamu anijuze mtandao ulio kama JamiiForums katika ngazi ya Kimataifa, usihusishe Facebook, Twitter, na Instagram.
Ninapendelea forums zenye mijadala fikirishi, yaani, yenye mada zinazojenga ufahamu mzuri.
Asante.
Unafikiri wahindi hawafanyi kimasihara??Quora ila upuuzi mwingi
Unakuta watu wanaeleze walivosex na baba mkwe
Eti sex with father in law experience.wahindi wapuuzi mno
Wanazo mada nzuri pia. Nimechagua mada za kuzifuatilia: Saikolojia, Ujasiriamali, Uongozi, n.k.Nilifunga account yangu baada ya kuona wananitumia vitu vya upuuzi. Eti nyie wanaume wa waafrika mna last longer on bed. Nikaona ni ujinga. Nikafungilia mbali.
Wanazo mada nzuri pia. Nimechagua mada za kuzifuatilia: Saikolojia, Ujasiriamali, Uongozi, n.k.
Kwa jinsi nilivyoona, wako vizuri kwenye hilo eneo.