Msaada mwenye kujua kesi yoyote aliwahi kuishinda Wakili Boniface Mwambukusi

Msaada mwenye kujua kesi yoyote aliwahi kuishinda Wakili Boniface Mwambukusi

Toka amelazimisha kufahamika na kupata umaaurufu sijawahi kuonanashinda kesi yoyote mahakamani. Kama yupo anayejua tafadhali aiweke hapa
Kaka Mayalla ame "like" kwamba ameiona hiyo na ni Wakili Msomi mwenzie na Mwabukusi. Ngoja tumsubiri atupe majibu.
 
Toka amelazimisha kufahamika na kupata umaaurufu sijawahi kuonanashinda kesi yoyote mahakamani. Kama yupo anayejua tafadhali aiweke hapa
Zako wewe umeshinda ngapi, mbona unafutilia sana mambo ya wengine? Na wewe fungua chapters, kurasa zako tuone umeshinda ngapi. Itoshe kusema tu kwamba awareness anayo fanya kwa waTanzania ni ya kutosha. wengine tuko humu JF kwa ID feki nyuma ya Keyboard na hatuko tayari kujulikana kwa majina yetu kamili. Ya nini kumfuatilia?
Binafsi, nimemsikiliza huyo hakimu Magumashi wa Mbeya anasema kwamba Mdude hakupigwa na zile video pia zilikuwa za Uongo? hayo mambo yanatia sana hasira pale ambapo Mahakimu nao wanajifanya hamnazo hata judicial notice ya kinacho sambaa huku kwenye social media wanajifanya hamnazo wala hawajakiona wala kusimuliwa... ni ujInga sana wa hawa watoa haki kusema kwamba hajapigwa wakati humu kwenye mitandao video za kupigwa zina trend. Amkeni kama kengemkeni mito mingi. Dunia inaenda kasi sana na Internet kazi yake ni ku- document tu ushahidi- principle of estoppel inawahusu sana hao watoa haki.
 
Toka amelazimisha kufahamika na kupata umaaurufu sijawahi kuonanashinda kesi yoyote mahakamani. Kama yupo anayejua tafadhali aiweke hapa
Tuanzie kwanza hapo kwenye kulazimisha kufahamika unamainisha nn?
 
Naomba nifahamu umri wa mtoa mada then ndo nichangie.
 
Toka amelazimisha kufahamika na kupata umaaurufu sijawahi kuonanashinda kesi yoyote mahakamani. Kama yupo anayejua tafadhali aiweke hapa
Vipi hata ya sasa ya Mdude ameshindwa tena au?
 
Toka amelazimisha kufahamika na kupata umaaurufu sijawahi kuonanashinda kesi yoyote mahakamani. Kama yupo anayejua tafadhali aiweke hapa
Hajawahi, uwakili alipewa na mjomba wako.
Ujinga mliopewa unaacha kuhoji hizo digirii wanazopeana wanaccm bila kuingia darasani unahoji mtu aliyepewa digirii na mwanaccm!
 
Back
Top Bottom