Msaada mwenye kujua kesi yoyote aliwahi kuishinda Wakili Boniface Mwambukusi

Msaada mwenye kujua kesi yoyote aliwahi kuishinda Wakili Boniface Mwambukusi

Zee zima unahangaika na visichana vidogo vya shule ya msingi,si ni ujinga huo?
Bora mimi ninayehangaika na visichana kuliko wewe unayejichua Kwa msaada wa uzi wa picha za warembo wakali world wide😂😁😆😅.

Badala ya kutupia picha ya beautiful ladies wewe unijichua.
 
That is one way of looking at it, la pili ni CV nadhani hakujua impact ya jinsi alivyojinadi. Alifeli Std 7 Ngaramtoni akaenda Rungwe ba huko akafeli Form 4. Akaanza kuwa daladala hadi Kongulero baadaye akawa Matatu hadi Namanga na Ebgare Nairobi. Baadaye akajisomea private A-level. Thrn akaanza Open University, wao hujinadi "Getting a University Degree without going to College", kwa sababu unajisomea kwa njia ya Posta, long distance learning. Kwa hiyo basically hakusoma, usitegemee maajabu sana. Linganisha na Rais wa TLS waliomtangulia, Nshalla ni PhD nshimire wa Harvard, Fatuma Karume ana Masters ya London School of Economics na Tundu Antipas ana Masters ya University of Norwich. Mwambukuzi halusoma anafanya mental compensation kwa kufokafoka.
 
Kazi ya wakili sio mtu kushinda bali ni kuhakikisha haki kutendeka.
Tangu leo shika vyema dhana hii.
Hata kushindwa ni haki- mie nataka kesi alizosimama kama wakili na upande wake ukashinda
 
Zako wewe umeshinda ngapi, mbona unafutilia sana mambo ya wengine? Na wewe fungua chapters, kurasa zako tuone umeshinda ngapi. Itoshe kusema tu kwamba awareness anayo fanya kwa waTanzania ni ya kutosha. wengine tuko humu JF kwa ID feki nyuma ya Keyboard na hatuko tayari kujulikana kwa majina yetu kamili. Ya nini kumfuatilia?
Binafsi, nimemsikiliza huyo hakimu Magumashi wa Mbeya anasema kwamba Mdude hakupigwa na zile video pia zilikuwa za Uongo? hayo mambo yanatia sana hasira pale ambapo Mahakimu nao wanajifanya hamnazo hata judicial notice ya kinacho sambaa huku kwenye social media wanajifanya hamnazo wala hawajakiona wala kusimuliwa... ni ujInga sana wa hawa watoa haki kusema kwamba hajapigwa wakati humu kwenye mitandao video za kupigwa zina trend. Amkeni kama kengemkeni mito mingi. Dunia inaenda kasi sana na Internet kazi yake ni ku- document tu ushahidi- principle of estoppel inawahusu sana hao watoa haki.
Mkuu usitoke nje ya mada- ombi langu hapa ni kesi ambazo Wakili Mwambukusi amefungua akasimama kama wakili na akashinda
 
Advocate Pascal Mayalla amewahi kushinda kesi ngapi?
Mkuu anzisha uzi wako uombe na majibu yatakuja- huu uzi unahusu kesi ambazo mwambukusi kasimama kama wakili na kashinda
 
Mkuu usitoke nje ya mada- ombi langu hapa ni kesi ambazo Wakili Mwambukusi amefungua akasimama kama wakili na akashinda
Mkuu ndugu yangu, itoshe tu kusema kwamba anasimamia hii ya sasa, hata kama hashindi maana asiyekubali kushindwa si....
 
Mkuu leta ushahidi hapa- ndio ninaoutafuta mimi ili nijue kama kweli yuko vizuri- mpaka sasa mimi sijaona umahiri wake naona kelele tu na uwanaharakati
Siyo tu uanasheria mzuri ni kushinda kesi na siyo mawakili wote hushinda mahakamani
 
Huyo nindugu yangu nawajina wangu lakini hajawahi kushinda hata.kesi ya nguruwe zaidi zaidi anashinda na chadema kwenye mitandaoni

Ni class mate wangu kabisa, hivi kwa upumbavu ulionao unaamini sana unaitaji competency sana kushinda Kesi Tanzania?

Kuna watu hawana hata degree ya Sheria, ni mtu Kati tu wa Hakimu na Kesi zinakungutwa Kila siku!

Hao wanaoshinda kesi kwa ajili ya familia zao na kula ni sawa, ila hawawazidi wanaoamua Kuwa na vipaumbele vingine!
 
Mkuu anzisha uzi wako uombe na majibu yatakuja- huu uzi unahusu kesi ambazo mwambukusi kasimama kama wakili na kashinda
Mwambukusi ni nani kwanza?

Halafu jina la mtu [nomino ya pekee] unaanzaje kuliandika kwa herufi ndogo?

Wakili na rais wa TLS anaitwa Mwabukusi huoni wewe ndio umeanzisha uzi wa mtu hata usiyemjua jina lake?

Mwisho huwezi kunipangia jinsi ya kutoa maoni ,hapa usingetaka maoni tofauti basi ungeyaandika kwenye diary yako hayo maswali.
 
Mwambukusi ni nani kwanza?

Halafu jina la mtu [nomino ya pekee] unaanzaje kuliandika kwa herufi ndogo?

Wakili na rais wa TLS anaitwa Mwabukusi huoni wewe ndio umeanzisha uzi wa mtu hata usiyemjua jina lake?

Mwisho huwezi kunipangia jinsi ya kutoa maoni ,hapa usingetaka maoni tofauti basi ungeyaandika kwenye diary yako hayo maswali.
Mkuu diary ni matukio binafsi ila maoni ni mchango wa mtu katika mjadala wazi
 
Mwambukusi ni nani kwanza?

Halafu jina la mtu [nomino ya pekee] unaanzaje kuliandika kwa herufi ndogo?

Wakili na rais wa TLS anaitwa Mwabukusi huoni wewe ndio umeanzisha uzi wa mtu hata usiyemjua jina lake?

Mwisho huwezi kunipangia jinsi ya kutoa maoni ,hapa usingetaka maoni tofauti basi ungeyaandika kwenye diary yako hayo maswali.
Hawa UWT ni wajinga sn
 
Bado tuna safari ndefu sana nchi hii, mpaka umejiuliza ujinga wako kichwani kuhusu Mwabukusi maana yake kuna impact fulani umeona lkn pia kwakuongezea tu kwa mazingira ya nchi yetu na mfumo wa kiutawala tulio nao kufika tu pale alipo maana yake amepambana sana vinginevyo hata wewe usingemfaham hata wewe
Sahihi kabisa mkuu, tena alikuwa ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali akaacha kazi kwa hiari
 
Back
Top Bottom