Tulipanga chumba kwa mkataba wa miezi 12.tukalipa fedha yote. Mwenye nymba kanipa notice niondoke mwezi wa kumi.
Nimeona nitafute chumba kingine,nimepata.Namtaka mama anipe hela yangu kwa miezi 3 (tsh.300,000/-)Amekataa anasema ananirudishia nusu ya kiasi hicho.
Sheria inasemaje hapo?
Nimeona nitafute chumba kingine,nimepata.Namtaka mama anipe hela yangu kwa miezi 3 (tsh.300,000/-)Amekataa anasema ananirudishia nusu ya kiasi hicho.
Sheria inasemaje hapo?