Haya magypsum wabongo mnayapendea nini?
Sebule inakuwa na mambo mengiiiiii... INA-SHOUT!!!
Nyumba za mbele hawanaga haya mambo, nayaona kwa wabongo tu... na mbaya, wote mnaigana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya magypsum wabongo mnayapendea nini?
Haya magypsum wabongo mnayapendea nini?
Sebule inakuwa na mambo mengiiiiii... INA-SHOUT!!!
Nyumba za mbele hawanaga haya mambo, nayaona kwa wabongo tu... na mbaya, wote mnaigana.
Nyumba za mbele wap uko mkuu au unazungumzia nyumba za kweny movies? Hayo mambo yote yanatoka uku uko mbele seme tu hujabahatika tu kuona ila ingia youtube uwone mbele uko watu wanavyozipendezesh nyumba na ayo magypsum 😁Haya magypsum wabongo mnayapendea nini?
Sebule inakuwa na mambo mengiiiiii... INA-SHOUT!!!
Nyumba za mbele hawanaga haya mambo, nayaona kwa wabongo tu... na mbaya, wote mnaigana.
Yes, we call it Mimimalism... that's the way to go.Hata mimi nashangaa nyumba inakuwa kama upo disco toto,mimi ni muumini wa vitu simple
Mbele gani huko wanakoweka mataa-taa ya blue na nyekundu kwenye ceiling?Nyumba za mbele wap uko mkuu au unazungumzia nyumba za kweny movies? Hayo mambo yote yanatoka uku uko mbele seme tu hujabahatika tu kuona ila ingia youtube uwone mbele uko watu wanavyozipendezesh nyumba na ayo magypsum [emoji16]
Bwana wee miye nashangaa sana yani mbwebwe kibao in three years sebule inakuwa kituko maana fashion inakuwa out dated sijui kwanini wabongo tunashindwa kufanya vitu simple and classicHaya magypsum wabongo mnayapendea nini?
Sebule inakuwa na mambo mengiiiiii... INA-SHOUT!!!
Nyumba za mbele hawanaga haya mambo, nayaona kwa wabongo tu... na mbaya, wote mnaigana.
Hata mimi nashangaa nyumba inakuwa kama upo disco toto,mimi ni muumini wa vitu simple
Nyumba za mbele wap uko mkuu au unazungumzia nyumba za kweny movies? Hayo mambo yote yanatoka uku uko mbele seme tu hujabahatika tu kuona ila ingia youtube uwone mbele uko watu wanavyozipendezesh nyumba na ayo magypsum [emoji16]
Hizi ni sebule au night clubs?
Mbele gani huko wanakoweka mataa-taa ya blue na nyekundu kwenye ceiling?
Sebule ina-shout kama ukumbi wa disco.
Unajua hata at least 2 interior design principles?
Nena PinInterest search "home decor ideas au " minimalist living room" au "Scandinavian interior" uone ninachozungumzia..
That's how "mbele" wanavyofanya.
Sebule za Instagram na face book hizo😂😂Hizi ni sebule au night clubs?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizi ni sebule au night clubs?
Ni sawa na kusema: kwa nini ununue landcruiser vx v8 wakati Vitz ni simple na classic.Bwana wee miye nashangaa sana yani mbwebwe kibao in three years sebule inakuwa kituko maana fashion inakuwa out dated sijui kwanini wabongo tunashindwa kufanya vitu simple and classic
Mmh mzee huu mfano wako hapana yani vtz vs V8Ni sawa na kusema: kwa nini ununue landcruiser vx v8 wakati Vitz ni simple na classic.
Wakuu mambo vipi nahitaji kudecoration sebule mwenye picha kali za decorations naomba atupie apa niweze kumuonyesha fundi wangu aweze kunijengea.
Ingia hapaWakuu mambo vipi nahitaji kudecoration sebule mwenye picha kali za decorations naomba atupie apa niweze kumuonyesha fundi wangu aweze kunijengea.
Shukran Boss hii nimeikubali
Ok asant
Hatuwezi wote kufanana. Kila mtu aweke kwa jinsi inavyompendeza.Haya magypsum wabongo mnayapendea nini?
Sebule inakuwa na mambo mengiiiiii... INA-SHOUT!!!
Nyumba za mbele hawanaga haya mambo, nayaona kwa wabongo tu... na mbaya, wote mnaigana.
Huna hela za kuweka kaa kimya na hizo nyumba za mbele ni za kupanga unaanzaje kuweka vitu ambavyo hujaruhusiwa ww baki na umaskini wako watu tunaweka tena kila after year tunabadili maana zinabadilishika ni ww na hela yako tu ila umaskini wako peleka kuleeeeHaya magypsum wabongo mnayapendea nini?
Sebule inakuwa na mambo mengiiiiii... INA-SHOUT!!!
Nyumba za mbele hawanaga haya mambo, nayaona kwa wabongo tu... na mbaya, wote mnaigana.
Kwa hiyo wewe unapenda sebule yako ionekane kama ukumbi wa disco?Hatuwezi wote kufanana. Kila mtu aweke kwa jinsi inavyompendeza.