Msaada NACTE kufungua dirisha la usajiri

Msaada NACTE kufungua dirisha la usajiri

Umeipata taarifa ya NACTE iliyotolewa Leo kufungua dirisha la udahili?
Kama bado udahili unaanza leo June 15 hadi Septemba 15 Mwaka 2020.
Kazi kwako pamoja na wale wote ambao walikua wakisubiria taarifa hii.
asante sana tena sana.
 
Wakuu Mwenye uelewa jinsi ya Kufanya application kupitia NACTE online, tunaomba aweke mwongozo hapa kusaidia/kurahisishia wengine.
 
Mwongozo wa namna ya ku apply nacte utafaa Sana hapa
MAOMBI YA VYUO NGAZI YA CHETI NA DIPLOMA 2020/2021.

Dirisha la maombi ya vyuo ngazi ya cheti na diploma yamefunguliwa rasmi kuanzia tarehe 15 June 2020 hadi tarehe 15 September.

Kwa wewe mwenye uhitaji wa kukamilishiwa application popote ulipo Tanzania, huduma inapatikana na ya uhakika.

Tuna wataalamu na wazoefu watakaokusaidia kukamilisha application yako ndani ya muda mfupi popote ulipo.

Kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane whatsapp/sms/simu +255 752026992

Tunapatikana Mbagala, Maeneo ya Sabasaba.
20200616_144952_0000.jpg
 
New Intake October .20/21

Kwa wale wanaotak kuomba vyuo katika dirisha hili lilofunguliwa kuanzia tarehe 15/6/2020 mnaweza kufollow iyo link apo mtapata msaada wa kuwaeleza jinsi ya kuomba vyuo na maswali yoyote yanayohusu vyuo utajibiwa.
WELCOME
 
Back
Top Bottom