Msaada nahisi kama naanza kupagawa

Msaada nahisi kama naanza kupagawa

Blaszczykowski

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2022
Posts
310
Reaction score
1,100
Tokea wife kuondoka na vitu vyandani na kuniacha kama alivyonikuta 2017 jamani shida inakuja kila nikiona kirikuu kimebeba vitu yaani mtu anahama 🤣🤣 nahisi kama wife anarudi hata kama nikiwa nakula nitaganda na kusindikiza kwa macho kirikuu mpaka kipotee.

Hata nikiwa kwenye daladala nitatoa hata kichwa nje niangalie, hii hali inanitesa sana kwa kweli, sijui itachukua muda gani kusahau haya majanga ya ndoa..
 
Dah pole sana
Vipi kwani kiuchumi umeyumba pia?
Kama hujayumba, una nguvu ya kuyasahau na kuyatokomeza kabisa
 
Tokea wife kuondoka na vitu vyandani na kuniacha kama alivyonikuta 2017 jamani shida inakuja kila nikiona kirikuu kimebeba vitu yaani mtu anahama 🤣🤣 nahisi kama wife anarudi atakama nikiwa nakula nitaganda na kusindikiza kwa macho kirikuu mpaka kipotee ,ata nikiwa kwenye dalala nitatoa ata kichwa nje niangalie ,hii hali inanitesa sana kwa kweli sijui itachukua mda gani kusahau haya majanga ya ndoa. .
Mkuu kweli matatizo unayopata mwingine anaweza kuona kama kichekesho ila pole sana piga moyo konde tutafanyanje na maisha ndo haya haya
 
Tokea wife kuondoka na vitu vyandani na kuniacha kama alivyonikuta 2017 jamani shida inakuja kila nikiona kirikuu kimebeba vitu yaani mtu anahama 🤣🤣 nahisi kama wife anarudi atakama nikiwa nakula nitaganda na kusindikiza kwa macho kirikuu mpaka kipotee.

Hata nikiwa kwenye daladala nitatoa hata kichwa nje niangalie, hii hali inanitesa sana kwa kweli sijui itachukua muda gani kusahau haya majanga ya ndoa. .
Mpelekee zawadi ya chupi, ipake dawa, kama UMUGHAKA alivyo mpelekea Rehema
 
Tokea wife kuondoka na vitu vyandani na kuniacha kama alivyonikuta 2017 jamani shida inakuja kila nikiona kirikuu kimebeba vitu yaani mtu anahama 🤣🤣 nahisi kama wife anarudi atakama nikiwa nakula nitaganda na kusindikiza kwa macho kirikuu mpaka kipotee.

Hata nikiwa kwenye daladala nitatoa hata kichwa nje niangalie, hii hali inanitesa sana kwa kweli sijui itachukua muda gani kusahau haya majanga ya ndoa. .
Yatapita.
 
Back
Top Bottom