Habari zenu wanajamvi, naandika haya nikiwa nahofu kutokana na hali ninayohisi; nahisi mwili kupungua mwilini, nahisi baridi tofauti na awali bila mabadiliko ya hali ya hewa.
Nilishawahi kuleta Uzi humu jukwaani kuhusu maswaiba ya kazini na mauzauza kisa cheo, Sasa nahisi nimelishwa kitu kinachonitafuna mwilini.
Siku chache nilizungumza na ndugu zangu wakaribu na kunishauri niwe makini kwani hapo naweza fanywa kitu kibaya, sasa bahati mbaya nilikula chakula ambacho mpaka sasa nakihisi kulikua sio Cha kawaida, na mpaka Sasa nimejiwekea limit ya kutokula chakula Cha kazini.
Naweza kusamarize issue iliopo, ipo hivi; niliajiriwa na kampuni moja hivi kukaimu nafasi flani Ya uongozi, nimeingia kazini nimekuta wapo wakongwe kwenye kazi na hao ndio wanaoweka kinyongo kwani nafasi isiwe yakwao, na zilizala ikaanzia hapo.
Ushauri wenu wanajamvi ni muhimi sana
Nilishawahi kuleta Uzi humu jukwaani kuhusu maswaiba ya kazini na mauzauza kisa cheo, Sasa nahisi nimelishwa kitu kinachonitafuna mwilini.
Siku chache nilizungumza na ndugu zangu wakaribu na kunishauri niwe makini kwani hapo naweza fanywa kitu kibaya, sasa bahati mbaya nilikula chakula ambacho mpaka sasa nakihisi kulikua sio Cha kawaida, na mpaka Sasa nimejiwekea limit ya kutokula chakula Cha kazini.
Naweza kusamarize issue iliopo, ipo hivi; niliajiriwa na kampuni moja hivi kukaimu nafasi flani Ya uongozi, nimeingia kazini nimekuta wapo wakongwe kwenye kazi na hao ndio wanaoweka kinyongo kwani nafasi isiwe yakwao, na zilizala ikaanzia hapo.
Ushauri wenu wanajamvi ni muhimi sana