Msaada: Nahitaji kufahamu jinsi ya kununua hisa

Msaada: Nahitaji kufahamu jinsi ya kununua hisa

Je unataka hisa za benki za nje au ndani?
Unataka hisa za gharama nafuu au bei ya wastani?
Anyway! CRDB ni best option, kadiri ya history ya RoI (Return on Investment.
Tembelea tawi lolote kubwa la CRDB au DSE kupata broker
 
Habari zenu wakuu, msaada nataka kununua hisa za bank yoyote inayofanya vizuri hapa Tanzania, naombeni maelekezo naenda wapi kufungua account au nanunua wapi? ofisi zipo wapi? mimi nipo Dar Es Salaam, asante
Mimi nina Hisa za NMB bei ya sokoni n 2,340 hisa moja, lakn mm nauza 2,100 kwa hisa moja. NMB n shirika ambalo linazid kupanda thamani mm nauza sababu ya shida ya Ada tu. Faida n kubwa cz thaman inapanda, nauza pungufu na unapata dividend kila mwaka. Nitakupa form ujaze na certificate utaipata kwa muda mfupi. Ukiwa interest nichek nikupe mwongozo
 
Tafadhali mkuu, for more details fika Dar es Salaam stock of exchange huto jutia uamuzi wako, pia utakutana na list ya makampuni yanafanya vizuri katika dividends zake za kila mwaka tofauti na hizo za mabank
 
Je unataka hisa za benki za nje au ndani?
Unataka hisa za gharama nafuu au bei ya wastani?
Anyway! CRDB ni best option, kadiri ya history ya RoI (Return on Investment.
Tembelea tawi lolote kubwa la CRDB au DSE kupata broker
CRDB asithubutu. Mimi nipo huko, hawafanyi vizuri kabisa. Natamani kutoka, lakini bei ya kuuza hisa ni hasara tu.
 
Bei ya hisa inapanda na kushuka kwa muda mfupi kutegemea na factors tofauti tofauti, ila kuna long term trend inayoweza kukuonyesha kwa wastani inapanda au kushuka.

Ununuaji wa hisa inategemea kama unataka kununua na kuuza ili upate faida kwa muda mfupi (kutokana na mabadiliko ya bei) au unataka kununua na kukaa nazo kama akiba huku ukipata dividends na capital gains.

Hisa za makampuni yanayofanya vizuri mara nyingi ni adimu kupata maana wauzaji ni wachache na wanunuzi ni wengi. Hapa uta compete na big investors wanaozisubiri hizohisa wanunue.

Ni somo refu kidogo. Tafuta mtaalam/kitabu upate kuelewa vizuri kabla ya kuingia.
 
Mkuu naamini sasahivi zitapanda thamani kwasababu watu wengi watakimbilia mabank kwasababu ya hizi tozo ndio maana namimi nimeona niwekeze huku mapema
Bora ununue NMB. Mimi nipo huku CRDB zaidi ya miaka 10. Nina uzoefu wa kutosha huku. Nina hisa zinakaribia 3000, lakini gawio ninalapata ni kidogo sana. Mfano mwaka huu nimepata sh. 43,000/=.
 
Asante mkuu, hivi Treasure Bonds za BOT inaruhusiwa kuanzia shilingi ngapi? je nakua napata faida kila mwezi kama ilivyo fixed account ya miaka miwili ambayo kila mwezi nakuta bank wameniwekea faida?
Ni kuanzia 500,000 nadhani


Unalipwa kila baada ya Miezi 6.

Kuna Bond ya serikali ya miaka 25 ambapo interest rate Yake ni 15.94% ... Piga mahesabu hapo hela unazotaka kuweka kwenye hisa na huku kwenye bonds kwa malipo ya asilimia 15 kwa mwaka.

View attachment 1870894
 
Mkuu nikushukuru tu kwanza kuanza kufikiria kuwekeza, Napenda kushare na wote machache niyajuayo ili yawe na manufaa zaidi ktk jamii yangu. Nimejifunza sana kuhusu hisa na mambo ya bond miaka ya hivi karibuni na nina uelewa wakuweza kukusaidia wewe ambaye ndo unaanza (sina miaka 10 sokoni)

IKO HIVI
Kweny uwekazaji wwte muda ni jambo la muhimu sana sana. Leo nanunua hisa za CRDB sio kwamba nina malengo ya kutengeneza faida kesho au wiki ijayo HAPANA leongo langu ni miaka 10 hadi 15 kutoka leo. Hii leo Buffet anapiga gawio la zaidi ya 2B kweny hisa za cocacola si kwamba amewekeza jana hapana ni kitu alichokianza muda mrefu uliopita na bado kinamlipa hadi leo.

Sio lazima kwenda bank ndo upate ABC za hisa zao, unaweza kuwasiliana na broker na akakupa ushirikiano wote unaouhitaji na ukakamilisha kila kitu ndani ya masaa machache ukawa na uwezo wa kununua hisa kupitia simu/pc yako ukiwa nyumbani au popote.

Binafsi namtumia Solomon stock brokers ambaye hadi sasa amenisaidia kupata kila ninachohitaji na kwa wakati, unaeza kuwauliza lolote kweny insta account yao wako active sana.. hata mimi kuwapata nilisoma sana makala za watu na maandiko kadha wa kadha hapa hapa jukwaani na nikaona watu wamewarecomend so ukiona yakufaa unaeza kuwatumia pia.

HISA ZA BANK
Binafsi Bank ni moja kat ya hisa ambazo niliamua kufa nazo kwa kununua kila mwezi hadi nitakaporidhika. Kwa sasa hakuna bank yenye hisa za bei ndogo kama CRDB ila hiyo isiwe sababu ya wewe kununua. Kwanza fanya utafit wako na muulize broker utayempata kulingana na muda unaotaka kuwekeza atakushauri vizuri sana jinsi na ni bank gani uweke mzigo. Kuna mwenzetu nimeona anasema anapata gawio la sh 43,000 kwa hisa 3000 anazomiliki ni sawa na 9% ya pesa alowekeza kwa mwaka.

Ipi bank bora ikija kweny RoI

CRDB-----Mwaka jana 1M ungepata hisa 4,348 CRDB 230 na ungepata gawio la Tsh 22 kwa kila hisa sawa 95,656
NMB-----Mwaka jana 1M ungepata hisa 417 NMB @2400 na ungepata gawio la Tsh 137 kwa kila hisa sawa 57,129

Ukiangalia mfano ulopita hapo juu utaelewa ni ktk Bank ipi ukinunua hisa zake unatengeneza faida kubwa kuliko mwenzake. Kwa 1m yule wa CRDB anapata faida karibu ya 1m ya NMB. Hapa nadhani ushaupata mwangaza wapi uweke mzigo.

Kuna capital gain pia kutoka mwaka jana CRDB ilipanda hadi kufika 300@hisa na sasa imeshuka inachezea kweny 270 ila NMB wameshuka hadi kufka 2340 ila pia hakuna wanunuaji ndo sababu umeona mdau hapo juu amekupa ofa ya 2100 kwa hisa ambayo n bei ya hasara kulingana na soko lilivyo leo. Hisa zinazouzika sana sokoni CRDB anaongoza ukiwa unauza unapata wateja na ukiwa unanunua unapata wauzaji kwa haraka tofauti na Bank zingine.

BONDS
Hizi pia ukiwasiliana na broker atakuelekeza namna ya kufungua account online na utapata calender ya BOT na hapo utaona ni lini wanauza dhamana gani ili uweze kuweka mzigo mezani broker akutafutie nafasi ya kuikopesa serikali na huku siri ni kuweka miaka mingi huko ndo wana riba kubwa zaidi. Kwa mfano ukiweka miaka 20 au 25 unapata 15% kila mwaka hadi miaka 20/25 ipite ndo urudishiwe principle amount ulowekeza. ukiweka 1m kwa mwaka unapokea 150,000 isiyokatwa kodi yeyote na unakua unalipwa direct na BOT. mambo ni mengi ni wewe tu kuamua. Lolote ambalo sijaeleweka nipo tayari kukosolewa na kujifunza zaidi.
 
Mkuu nikushukuru tu kwanza kuanza kufikiria kuwekeza, Napenda kushare na wote machache niyajuayo ili yawe na manufaa zaidi ktk jamii yangu. Nimejifunza sana kuhusu hisa na mambo ya bond miaka ya hivi karibuni na nina uelewa wakuweza kukusaidia wewe ambaye ndo unaanza (sina miaka 10 sokoni)

IKO HIVI
Kweny uwekazaji wwte muda ni jambo la muhimu sana sana. Leo nanunua hisa za CRDB sio kwamba nina malengo ya kutengeneza faida kesho au wiki ijayo HAPANA leongo langu ni miaka 10 hadi 15 kutoka leo. Hii leo Buffet anapiga gawio la zaidi ya 2B kweny hisa za cocacola si kwamba amewekeza jana hapana ni kitu alichokianza muda mrefu uliopita na bado kinamlipa hadi leo.

Sio lazima kwenda bank ndo upate ABC za hisa zao, unaweza kuwasiliana na broker na akakupa ushirikiano wote unaouhitaji na ukakamilisha kila kitu ndani ya masaa machache ukawa na uwezo wa kununua hisa kupitia simu/pc yako ukiwa nyumbani au popote.

Binafsi namtumia Solomon stock brokers ambaye hadi sasa amenisaidia kupata kila ninachohitaji na kwa wakati, unaeza kuwauliza lolote kweny insta account yao wako active sana.. hata mimi kuwapata nilisoma sana makala za watu na maandiko kadha wa kadha hapa hapa jukwaani na nikaona watu wamewarecomend so ukiona yakufaa unaeza kuwatumia pia.

HISA ZA BANK
Binafsi Bank ni moja kat ya hisa ambazo niliamua kufa nazo kwa kununua kila mwezi hadi nitakaporidhika. Kwa sasa hakuna bank yenye hisa za bei ndogo kama CRDB ila hiyo isiwe sababu ya wewe kununua. Kwanza fanya utafit wako na muulize broker utayempata kulingana na muda unaotaka kuwekeza atakushauri vizuri sana jinsi na ni bank gani uweke mzigo. Kuna mwenzetu nimeona anasema anapata gawio la sh 43,000 kwa hisa 3000 anazomiliki ni sawa na 9% ya pesa alowekeza kwa mwaka.

Ipi bank bora ikija kweny RoI

CRDB-----Mwaka jana 1M ungepata hisa 4,348 CRDB 230 na ungepata gawio la Tsh 22 kwa kila hisa sawa 95,656
NMB-----Mwaka jana 1M ungepata hisa 417 NMB @2400 na ungepata gawio la Tsh 137 kwa kila hisa sawa 57,129

Ukiangalia mfano ulopita hapo juu utaelewa ni ktk Bank ipi ukinunua hisa zake unatengeneza faida kubwa kuliko mwenzake. Kwa 1m yule wa CRDB anapata faida karibu ya 1m ya NMB. Hapa nadhani ushaupata mwangaza wapi uweke mzigo.

Kuna capital gain pia kutoka mwaka jana CRDB ilipanda hadi kufika 300@hisa na sasa imeshuka inachezea kweny 270 ila NMB wameshuka hadi kufka 2340 ila pia hakuna wanunuaji ndo sababu umeona mdau hapo juu amekupa ofa ya 2100 kwa hisa ambayo n bei ya hasara kulingana na soko lilivyo leo. Hisa zinazouzika sana sokoni CRDB anaongoza ukiwa unauza unapata wateja na ukiwa unanunua unapata wauzaji kwa haraka tofauti na Bank zingine.

BONDS
Hizi pia ukiwasiliana na broker atakuelekeza namna ya kufungua account online na utapata calender ya BOT na hapo utaona ni lini wanauza dhamana gani ili uweze kuweka mzigo mezani broker akutafutie nafasi ya kuikopesa serikali na huku siri ni kuweka miaka mingi huko ndo wana riba kubwa zaidi. Kwa mfano ukiweka miaka 20 au 25 unapata 15% kila mwaka hadi miaka 20/25 ipite ndo urudishiwe principle amount ulowekeza. ukiweka 1m kwa mwaka unapokea 150,000 isiyokatwa kodi yeyote na unakua unalipwa direct na BOT. mambo ni mengi ni wewe tu kuamua. Lolote ambalo sijaeleweka nipo tayari kukosolewa na kujifunza zaidi.
Umeongea vizuri Sana
 
Asante sana, hii naona ndio the best. Nikitaka kuweka niende ofisi zipi?
Bank zote ni mawakala wa BOT kwenye Bond za serikali unaweza tembela bank yako kwa maelezo zaidi au nenda BOT.

Au nenda kwa mawakala wa soko la hisa la DSE utapewa michakato
 
Bank zote ni mawakala wa BOT kwenye Bond za serikali unaweza tembela bank yako kwa maelezo zaidi au nenda BOT.

Au nenda kwa mawakala wa soko la hisa la DSE utapewa michakato
Bank zinafanya biashara. Ile pesa unaweka fixed acc ndo wanaiwekeza kwa bonds hivyo sidhani kama hao ni watu wazuri wakukufundisha wewe jinsi ya kupata faida wanayoipata wao badala yake wanataka uweke kwao wakupe 5% P.A na wao wakamenye 16% P.A bila Tax.
 
CRDB asithubutu. Mimi nipo huko, hawafanyi vizuri kabisa. Natamani kutoka, lakini bei ya kuuza hisa ni hasara tu.

Acha uongo mkuu. Tatizo mnanunua hisa za laki moja mnategemea kupata pesa nyingi. Mimi baba yangu ana hisa milioni moja na nusu CRDB na mwezi jana kapata milioni 24 kama gawio ya 2020. Watu mnanunua vi hisa vya milioni moja mnategemea kupata milioni 100. Wabongo bana. Mambo ya hisa waachie wenye pesa nyingi
 
Mkuu nikushukuru tu kwanza kuanza kufikiria kuwekeza, Napenda kushare na wote machache niyajuayo ili yawe na manufaa zaidi ktk jamii yangu. Nimejifunza sana kuhusu hisa na mambo ya bond miaka ya hivi karibuni na nina uelewa wakuweza kukusaidia wewe ambaye ndo unaanza (sina miaka 10 sokoni)

IKO HIVI
Kweny uwekazaji wwte muda ni jambo la muhimu sana sana. Leo nanunua hisa za CRDB sio kwamba nina malengo ya kutengeneza faida kesho au wiki ijayo HAPANA leongo langu ni miaka 10 hadi 15 kutoka leo. Hii leo Buffet anapiga gawio la zaidi ya 2B kweny hisa za cocacola si kwamba amewekeza jana hapana ni kitu alichokianza muda mrefu uliopita na bado kinamlipa hadi leo.

Sio lazima kwenda bank ndo upate ABC za hisa zao, unaweza kuwasiliana na broker na akakupa ushirikiano wote unaouhitaji na ukakamilisha kila kitu ndani ya masaa machache ukawa na uwezo wa kununua hisa kupitia simu/pc yako ukiwa nyumbani au popote.

Binafsi namtumia Solomon stock brokers ambaye hadi sasa amenisaidia kupata kila ninachohitaji na kwa wakati, unaeza kuwauliza lolote kweny insta account yao wako active sana.. hata mimi kuwapata nilisoma sana makala za watu na maandiko kadha wa kadha hapa hapa jukwaani na nikaona watu wamewarecomend so ukiona yakufaa unaeza kuwatumia pia.

HISA ZA BANK
Binafsi Bank ni moja kat ya hisa ambazo niliamua kufa nazo kwa kununua kila mwezi hadi nitakaporidhika. Kwa sasa hakuna bank yenye hisa za bei ndogo kama CRDB ila hiyo isiwe sababu ya wewe kununua. Kwanza fanya utafit wako na muulize broker utayempata kulingana na muda unaotaka kuwekeza atakushauri vizuri sana jinsi na ni bank gani uweke mzigo. Kuna mwenzetu nimeona anasema anapata gawio la sh 43,000 kwa hisa 3000 anazomiliki ni sawa na 9% ya pesa alowekeza kwa mwaka.

Ipi bank bora ikija kweny RoI

CRDB-----Mwaka jana 1M ungepata hisa 4,348 CRDB 230 na ungepata gawio la Tsh 22 kwa kila hisa sawa 95,656
NMB-----Mwaka jana 1M ungepata hisa 417 NMB @2400 na ungepata gawio la Tsh 137 kwa kila hisa sawa 57,129

Ukiangalia mfano ulopita hapo juu utaelewa ni ktk Bank ipi ukinunua hisa zake unatengeneza faida kubwa kuliko mwenzake. Kwa 1m yule wa CRDB anapata faida karibu ya 1m ya NMB. Hapa nadhani ushaupata mwangaza wapi uweke mzigo.

Kuna capital gain pia kutoka mwaka jana CRDB ilipanda hadi kufika 300@hisa na sasa imeshuka inachezea kweny 270 ila NMB wameshuka hadi kufka 2340 ila pia hakuna wanunuaji ndo sababu umeona mdau hapo juu amekupa ofa ya 2100 kwa hisa ambayo n bei ya hasara kulingana na soko lilivyo leo. Hisa zinazouzika sana sokoni CRDB anaongoza ukiwa unauza unapata wateja na ukiwa unanunua unapata wauzaji kwa haraka tofauti na Bank zingine.

BONDS
Hizi pia ukiwasiliana na broker atakuelekeza namna ya kufungua account online na utapata calender ya BOT na hapo utaona ni lini wanauza dhamana gani ili uweze kuweka mzigo mezani broker akutafutie nafasi ya kuikopesa serikali na huku siri ni kuweka miaka mingi huko ndo wana riba kubwa zaidi. Kwa mfano ukiweka miaka 20 au 25 unapata 15% kila mwaka hadi miaka 20/25 ipite ndo urudishiwe principle amount ulowekeza. ukiweka 1m kwa mwaka unapokea 150,000 isiyokatwa kodi yeyote na unakua unalipwa direct na BOT. mambo ni mengi ni wewe tu kuamua. Lolote ambalo sijaeleweka nipo tayari kukosolewa na kujifunza zaidi.
Mkuu me binafsi nimeipenda BOND......so ili niweke mzigo naanzaje process au mpaka nimwone broker
 
Back
Top Bottom