MC RAS PAROKO
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 623
- 606
BROKERMkuu me binafsi nimeipenda BOND......so ili niweke mzigo naanzaje process au mpaka nimwone broker
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BROKERMkuu me binafsi nimeipenda BOND......so ili niweke mzigo naanzaje process au mpaka nimwone broker
Treasury bond kwa Milion20Achana na hisa kanunue Treasure Bonds za serikali BOT utakuja nishukuru.
Sio kwamba mzee wetu angewekeza mahala pengine bora zaidi angepata gawio bora zaidi? Mfano kwenye bond za serikali kama mdau alivyoeleza hapo juu.Acha uongo mkuu. Tatizo mnanunua hisa za laki moja mnategemea kupata pesa nyingi. Mimi baba yangu ana hisa milioni moja na nusu CRDB na mwezi jana kapata milioni 24 kama gawio ya 2020. Watu mnanunua vi hisa vya milioni moja mnategemea kupata milioni 100. Wabongo bana. Mambo ya hisa waachie wenye pesa nyingi