Kuna basi 24 hrs , sa mbili usku unaamsha DSM , sa 4 asubh upo mwanza , Ila kiukweli ifikie hatua serikali iruhusu mashirika shindani ya ndege , Kwa mwanza abiria ni wengi mno wa ndege , Yani ndani ya masaa 24 hupati tiketi asa ndo nini
View attachment 2772705