Msaada: Nahitaji kufika Mwanza saa 7 mchana kesho na ndege zimejaa, kuna option nyingine yoyote?

Fanya ufanyavyo fika morogoro mapema ndio utafutie usafiri wa mwanza hapo.. kuna gari nyingi sana zinapita moro muda wote.
 
Tangu lini 02:00 ikawa ni saa 2 usiku? Upo zako kaunta unakunywa beer tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…