Msaada: Nahitaji kuhama kutokea Taasisi A kwenda Taasisi B za Serikali, Nifanyeje?

Msaada: Nahitaji kuhama kutokea Taasisi A kwenda Taasisi B za Serikali, Nifanyeje?

Play station

Member
Joined
May 8, 2014
Posts
19
Reaction score
44
Habarini ndugu zangu wa JF natumahi nyote ni wazima! Tafadhali naombeni ushauri juu ya hiki kisa changu.

Mimi ni mtumishi mpya wa serekali ,nafanya kazi taasisi A ambayo haiko kwenye mfumo wa cheki namba wala huduma za lawson. Nina miezi minne kazini! Kabla sijasaini offer nilikuwa na pending interview ajira portal kwenye taasisi B (yenye maslahi mazuri zaidi) taasisi B iko kwenye mfumo wa cheki namba na lawson.

Nikiwa sina hili wala lile naingia tovuti ya ajira nakutana na habari njema kuwa nimepita usaili taasisi B. Nawakumbusha tena huu usaili wa taasisi B niliufanya nikiwa bado sijasaini offer ya kazi taasisi A.

Nafika hadi utumishi na kuchukua barua yangu ya kazi na kuipeleka kwa mwajiri wangu mpya, nishajaza baadhi ya fomu! Kitu kinachonifanya niombe msaada kwenu leo hii ni hiki, je nawezaje kuhamia taasisi B pasipo kupata shida yoyote?

Nimejaribu kumshirikisha mkuu wangu wa taasisi A kuwa nimepata kazi nyingine ,amegoma kuniachia kwa njia zile za utaratibu, amekaza kuwa bado ana mahitaji na mimi .nipo njia panda kuna watu wengine wamenishauri niandike barua ya kujiuzulu , wengine wamesema niondoke tu bila kuaga ... Bado sijui nifanye nini!

Naombeni ushauri ndugu zangu kipi nifanye hapa??

NATANGULIZA SHUKRANI
 
Upo sahihi kuna taasisi kibao kama hzo mfano TANESCO wao wanatumia coy no

Sasa nachojiuliza imekuwaj umfanya kaz had miez 4 bila kusain latter offer au ulisain Latter of appointment
Nimesaini offer na letter of appointment ,nina cheki namba pia nishapewa ,niko kwenye probation , lakini hawa wenyeji niliowakuta huku wanasema sisi hatuko kwenye mfumo wa cheki namba kwakuwa hatuko lawson utumishi ,hata mishahara yetu inatoka tarehe za mbali kidogo na taaisis zingine
 
Nimesaini offer na letter of appointment ,nina cheki namba pia nishapewa ,niko kwenye probation , lakini hawa wenyeji niliowakuta huku wanasema sisi hatuko kwenye mfumo wa cheki namba kwakuwa hatuko lawson utumishi ,hata mishahara yetu inatoka tarehe za mbali kidogo na taaisis zingine
Hayo mambo ni ya [emoji577]
 
Nimesaini offer na letter of appointment ,nina cheki namba pia nishapewa ,niko kwenye probation , lakini hawa wenyeji niliowakuta huku wanasema sisi hatuko kwenye mfumo wa cheki namba kwakuwa hatuko lawson utumishi ,hata mishahara yetu inatoka tarehe za mbali kidogo na taaisis zingine
Asee naisi hyo yawez kuwa Tiharasi
Mwanangu wew andika hata barua yakuomb kuhamia kule kutokan na matatz ya kifamilia ikishindikana kabsaaa nenda tafuta mwanasheria lazm utatoboa Tu
 
Habarini ndugu zangu wa JF natumahi nyote ni wazima! Tafadhali naombeni ushauri juu ya hiki kisa changu...

Mimi ni mtumishi mpya wa serekali ,nafanya kazi taasisi Nina miezi minne kazini! Kabla sijasaini offer nilikuwa na pending interview ajira portal kwenye taasisi B (yenye maslahi mazuri zaidi)

Nikiwa sina hili wala lile naingia tovuti ya ajira nakutana na habari njema kuwa nimepita usaili taasisi B. Nawakumbusha tena huu usaili wa taasisi B niliufanya nikiwa bado sijasaini offer ya kazi taasisi A.

Nafika hadi utumishi na kuchukua barua yangu ya kazi na kuipeleka kwa mwajiri wangu mpya, nishajaza baadhi ya fomu! Kitu kinachonifanya niombe msaada kwenu leo hii ni hiki, je nawezaje kuhamia taasisi B pasipo kupata shida yoyote?? Nimejaribu kumshirikisha mkuu wangu wa taasisi A kuwa nimepata kazi nyingine ,amegoma kuniachia kwa njia zile za utaratibu, amekaza kuwa bado ana mahitaji na mimi .nipo njia panda kuna watu wengine wamenishauri niandike barua ya kujiuzulu , wengine wamesema niondoke tu bila kuaga ... Bado sijui nifanye nini!

Naombeni ushauri ndugu zangu kipi nifanye hapa??

NATANGULIZA SHUKRANI
Achana na mpango na mawazo ya kuhama.Nenda kafanye kazi.Kila kitu kinachotokea, nyuma yake kuna sababu, na kwa Wale wanaoamini katika Mungu wanasema kila kitu ni mpango wa Mungu.
Amini kila kitu kitakuwa sawa ,nenda kafanye kazi kwenye hiyo Taasisi ambayo bila kushinikizwa umeingia nayo Mkataba wa ajira.

Huo ni ushauri wangu.

ARTICLE.
 
Siko hapa kurekebishwa naomba nisaidie kwa mawazo nini kifanyike! Tunaambiwa tunalipwa kwa control number
Unalipwaje Kwa control number.
.labda kama ni tiss.

Usitufanye malofa.
. anyway maamuzi ni yako mwenyewe.

Jua tu usiache mbachao Kwa msala huo. Ukifany hivyo ni tamaa. Na ujue tamaa mbele....... Usinfeingia contract ...lkn contract inafunga na inalaana
 
Habarini ndugu zangu wa JF natumahi nyote ni wazima! Tafadhali naombeni ushauri juu ya hiki kisa changu...

Mimi ni mtumishi mpya wa serekali ,nafanya kazi taasisi A ambayo haiko kwenye mfumo wa cheki namba wala huduma za lawson. Nina miezi minne kazini! Kabla sijasaini offer nilikuwa na pending interview ajira portal kwenye taasisi B (yenye maslahi mazuri zaidi) taasisi B iko kwenye mfumo wa cheki namba na lawson

Nikiwa sina hili wala lile naingia tovuti ya ajira nakutana na habari njema kuwa nimepita usaili taasisi B. Nawakumbusha tena huu usaili wa taasisi B niliufanya nikiwa bado sijasaini offer ya kazi taasisi A.

Nafika hadi utumishi na kuchukua barua yangu ya kazi na kuipeleka kwa mwajiri wangu mpya, nishajaza baadhi ya fomu! Kitu kinachonifanya niombe msaada kwenu leo hii ni hiki, je nawezaje kuhamia taasisi B pasipo kupata shida yoyote?? Nimejaribu kumshirikisha mkuu wangu wa taasisi A kuwa nimepata kazi nyingine ,amegoma kuniachia kwa njia zile za utaratibu, amekaza kuwa bado ana mahitaji na mimi .nipo njia panda kuna watu wengine wamenishauri niandike barua ya kujiuzulu , wengine wamesema niondoke tu bila kuaga ... Bado sijui nifanye nini!

Naombeni ushauri ndugu zangu kipi nifanye hapa??

NATANGULIZA SHUKRANI
Tafuta mtu ambae ni afisa utumishi na wanasheria wa taasisi za Umma imeisha hio, umekosea ungeacha kazi ,24,hrs kama hutaki uzushi, mtafutie Laki honga huyo bosi wako usepe, kila ukiingia ofisini kwake Kwa agenda hio record maongezi yenu yote,
 

Tafuta mtu ambae ni afisa utumishi na wanasheria wa taasisi za Umma imeisha hio, umekosea ungeacha kazi ,24,hrs kama hutaki uzushi, mtafutie Laki honga huyo bosi wako usepe, kila ukiingia ofisini kwake Kwa agenda hio record maongezi yenu yote,
Bado sijachelewa kuna mtu kanishauri hivyo kuwa niache kazi ndani ya saa 24 kwa kumlipa mwajiri wangu mshahara wa mwezi mmoja ,ila kuna mwingine kanionya hiyo ni trap kwani nikifanya hivyo nakosa sifa ya kuwa mtumishi tena katika maisha yangu, sijui nani mkweli hapa...
 
Back
Top Bottom