Play station
Member
- May 8, 2014
- 19
- 44
- Thread starter
-
- #41
Nimekuelewa vizuri sanaIla huu mchezo unahitaj san kumtanguliza mungu kumbuka wkat unaajiriwa Taasisi A ulifanyiwa venting ya maana sasa ukienda taasisi B wakikuanyia venting hutaonekana una Tamaa
Solution ni moja tu
Mnyenyekee boss A had akupe release letter hyo nd utakuwa na aman ila sijui mambo ya ku resign , haya una resign boss A anakublock na ku comment umeacha kaz serikalini,
Hapo lazima ukumbe kile kidogo huajiriw popote pale serikalini
WEKA MAWASILIano mazuri na boss wako usije kosa vyote #MTAANIKUGUMU
Zote hizo ni Serikali. Taasisi zinagawanyika kutokana na mgawanyo wa majukumu. Kiacha kazi ni hatarishi aisee. Sema mwajiri wako wa sasa angekuwa muungwana angekuacha uende kwenye Taasisi pana. Usiache kazi Serikali ni moja.Bado sijachelewa kuna mtu kanishauri hivyo kuwa niache kazi ndani ya saa 24 kwa kumlipa mwajiri wangu mshahara wa mwezi mmoja ,ila kuna mwingine kanionya hiyo ni trap kwani nikifanya hivyo nakosa sifa ya kuwa mtumishi tena katika maisha yangu, sijui nani mkweli hapa...
Taasis kama TPDC, PSPF
Taasisi za serikali zisizo na check namba zipo. Pia hawalipiwi hazina wao wanazalisha na wanajilipa kutokana na uzalishaji wao. wala mambo ya lawson hayapo.Kwanza hakuna taasisi ya serikali ambayo hakuna check no
kuna Taasisi za Umma hazijaingia kwenye mfumo wa lawson,na wala hawana check Namba.Mimi nilikuwa mtumishi kwenye taasisi ya aina hiyo na sikuwa na check namba lakini nilipohamishiwa serikali kuu ndo taratibu za utumishi zikafanyika kama vile ni fresh employment ndio nikapatiwa check Namba.Hivyo kama yupo kwenye taasisi isiyotumia lawson ana option ya kwenda kuajiriwa kama mtumishi mpya au alternatively aende Utumishi watam-advise the way forward ambayo haitaleta shida kwakeKwanza hakuna taasisi ya serikali ambayo hakuna check no
ZipoKwanza hakuna taasisi ya serikali ambayo hakuna check no
Wewe utakuwa zile jamiiii za watu wafupi halafu wabishiiiiiiiiiiKwanza hakuna taasisi ya serikali ambayo hakuna check no
Shida ya utumishi ukipata shida ya kufukuzwa Kazi ni wepesi Sana yaani fasta tu unalamba barua na sio ishu za kuhama au jambo la kheri utasubiri sana.Mimi ni mtumishi wa serikali nishakuwa na cheki namba lazima ufute taratibu za kuhama kwa boss wako ila ukiondoka kinyamela itakula kwako hautoweza kuajiriwa tena serikali so kuwa muwazi mkuu
Huwezi kuhama hadi umalize kipindi cha matazamio. Baada ya kumaliza muda matazamio utapewa barua ya kuthibitisha Kazini hiyo ndio itakuwezesha kuhamaNimesaini offer na letter of appointment ,nina cheki namba pia nishapewa ,niko kwenye probation , lakini hawa wenyeji niliowakuta huku wanasema sisi hatuko kwenye mfumo wa cheki namba kwakuwa hatuko lawson utumishi ,hata mishahara yetu inatoka tarehe za mbali kidogo na taaisis zingine
habari, sasa kama haupo kwenye mfumo wowote na wala check number, swali, mshahara walikuwa wanakulipaje unachukua cash au?Habarini ndugu zangu wa JF natumahi nyote ni wazima! Tafadhali naombeni ushauri juu ya hiki kisa changu.
Mimi ni mtumishi mpya wa serekali ,nafanya kazi taasisi A ambayo haiko kwenye mfumo wa cheki namba wala huduma za lawson. Nina miezi minne kazini! Kabla sijasaini offer nilikuwa na pending interview ajira portal kwenye taasisi B (yenye maslahi mazuri zaidi) taasisi B iko kwenye mfumo wa cheki namba na lawson.
Nikiwa sina hili wala lile naingia tovuti ya ajira nakutana na habari njema kuwa nimepita usaili taasisi B. Nawakumbusha tena huu usaili wa taasisi B niliufanya nikiwa bado sijasaini offer ya kazi taasisi A.
Nafika hadi utumishi na kuchukua barua yangu ya kazi na kuipeleka kwa mwajiri wangu mpya, nishajaza baadhi ya fomu! Kitu kinachonifanya niombe msaada kwenu leo hii ni hiki, je nawezaje kuhamia taasisi B pasipo kupata shida yoyote?
Nimejaribu kumshirikisha mkuu wangu wa taasisi A kuwa nimepata kazi nyingine ,amegoma kuniachia kwa njia zile za utaratibu, amekaza kuwa bado ana mahitaji na mimi .nipo njia panda kuna watu wengine wamenishauri niandike barua ya kujiuzulu , wengine wamesema niondoke tu bila kuaga ... Bado sijui nifanye nini!
Naombeni ushauri ndugu zangu kipi nifanye hapa??
NATANGULIZA SHUKRANI
Kwanza hakuna taasisi ya serikali ambayo hakuna check no