Case closedNinalo?
Lengo ni ili nisikugonge wewe wala yoyote
Mkuu mbona unapenda na kuendekeza anasa? Kuna haja gani ya wewe kumiliki nakujifunza kuendesha Gari wakati una miguu? Mbona mababu zetu waliishi bila magari na mambo yalienda na walikuwa na furaha tu?Ninalo?
Lengo ni ili nisikugonge wewe wala yoyote
Kuna haja gani ya kuvaa nguo wakati una ngozi na vinyweleo!!?Mkuu mbona unapenda na kuendekeza anasa? Kuna haja gani ya wewe kumiliki nakujifunza kuendesha Gari wakati una miguu? Mbona mababu zetu waliishi bila magari na mambo yalienda na walikuwa na furaha tu?
Ndio hapo sasa asee ndo maana tulikuja uchi na tutarudi hivyo uchi na sanda na suti.Kuna haja gani ya kuvaa nguo wakati una ngozi na vinyweleo!!?
Sasa unataka kila mtu aishi kama babu yako, kenge wengine mna matatizo sanaMkuu mbona unapenda na kuendekeza anasa? Kuna haja gani ya wewe kumiliki nakujifunza kuendesha Gari wakati una miguu? Mbona mababu zetu waliishi bila magari na mambo yalienda na walikuwa na furaha tu?
Ndio tumezidi kupenda na kuendekeza anasa sana. Umeme ukikatika kidogo tu makelele mbona mababu zetu hawakutumia umeme kabisa na walikuwa na furaha tu hawalalamiki na maisha yalienda?Sasa unataka kila mtu aishi kama babu yako, kenge wengine mna matatizo sana
Nenda hapo inatazamana na kanisa la Kakobe ukiwa unatokea Milimani City na nyingine IPO Tabata Ila sababu wewe upo maeneo ya Magomeni basi hii ya Milimani City itakufaa zaidiMlimani (Mwenge au Tegeta, hapo ada yake kwa mwezi ni 270K kwa manual, na 300K kwa auto sijui kama sasa hivi wamebadili)
Rudi Namtumbo kaishi kama babu yako. Ondoka uache kubweka ka mbwa Ughaibuni CphNdio tumezidi kupenda na kuendekeza anasa sana. Umeme ukikatika kidogo tu makelele mbona mababu zetu hawakutumia umeme kabisa na walikuwa na furaha tu hawalalamiki na maisha yalienda?
Tulia wewe. Nyinyi ndo mmesababisha hadi Serikali ya Canada iingilie kati kupiga marufuku wageni kununua nyumba. Rudisha iyo passport ya Canada urudi nyumbani ulime matikiti. Halafu unaishi Ottawa hujui kifaransa nenda uishi BC huko.Rudi Namtumbo kaishi kama babu yako. Ondoka uache kubweka ka mbwa Ughaibuni Cph
Nanda VETA hapo chang'ombe ndio utapata mahitaji yako, NIT ni kwa ajili ya wale ambao tayari ni madereva wanaenda kuongeza umahiri na utaalamu zaidi.Habari wakuu,
Kama heading inavyoeleza hapo juu, Naomba kwa mwenye experience na masuala haya ya mafuzo ya udereva yanavyokwenda anishauri ni Driving school gani niende ili kupata elimu ya mafunzo ya kuendesha Magari japo haya mdogo kwanza lakini muhimu nijipatie cheti...
Ningeomba kujua pia cost zake, pamoja na duration ya muda wa kumaliza mafunzo na vp itawezekana mimi kuwa nahudhuria kwa muda nitakaopata nafasi binafsi n.k.
Mimi ni mkazi wa Dar es Samia.
Hivi na huko Canada hua unajambaga kile kijambo chako?Tulia wewe. Nyinyi ndo mmesababisha hadi Serikali ya Canada iingilie kati kupiga marufuku wageni kununua nyumba. Rudisha iyo passport ya Canada urudi nyumbani ulime matikiti. Halafu unaishi Ottawa hujui kifaransa nenda uishi BC huko.
Huyo mleta mada ni mwenyeji wa Magomeni Mapipa sio Mimi mkuu, nilikua nampa uelekeo wa sehemu ya karibu na eneo alilopo au ulitaka aje kwako Tegeta?Ndio hiyo niliyoiongelea mimi na siyo mimi mwenye huo uhitaji, nafahamu hiyo ya hapo na Tegeta na nyingine iko Bagamoyo, kwa kuwa wewe unaishi Magomeni ndio unadhani kila mtu humu ni jirani yako
Anapenda utani mzoee tu mkuu,We nawe kumbe hamu nazo, Nikawa nakuheshimugiii