stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Basi Sawa mkuu,Utani kwenye issue yenye mashiko katika maisha yangu!!!! Sometimes tunatakiwa kujua aim za watu kwenye nyuzi ili tusikwazane bana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi Sawa mkuu,Utani kwenye issue yenye mashiko katika maisha yangu!!!! Sometimes tunatakiwa kujua aim za watu kwenye nyuzi ili tusikwazane bana
Basi IPO Mlimani ya Tabata unajua ilipo?Hapana, Mimi naishi Tabata bros
Tabata IPO ukishapita Madonna Hospital Kona pale angalia upande wa kulia km sijakosea wana Ofisi zaohapana, naijua mlimani ya near mlimani city
Mkuu heshima kwako. Usinichukuliage serious.We nawe kumbe hamu nazo, Nikawa nakuheshimugiii
😂 jibu la kibabe sana hiliNinalo?
Lengo ni ili nisikugonge wewe wala yoyote
Ok okNinalo?
Lengo ni ili nisikugonge wewe wala yoyote
Sasa mbona ulini quote mimi, halafu kwenye uzi sijaona sehemu mtoa mada ametaja anaishi wapi, zaidi ya kutaja mkoaHuyo mleta mada ni mwenyeji wa Magomeni Mapipa sio Mimi mkuu, nilikua nampa uelekeo wa sehemu ya karibu na eneo alilopo au ulitaka aje kwako Tegeta?
Amesema anaishi Tabata mkuu 'Jadda' uwe unatulia kidogo,Sasa mbona ulini quote mimi, halafu kwenye uzi sijaona sehemu mtoa mada ametaja anaishi wapi, zaidi ya kutaja mkoa
Hilo hajalisema kwenye uzi kaja kulisema kwenye comments, baada ya wewe kuwa umesharopoka kuwa anaishi magomeni tena kwa kuniquote mimi, wewe ndio unatakiwa utulize hilo wenge lakoAmesema anaishi Tabata mkuu 'Jadda' uwe unatulia kidogo,
www.theamazoncollege.ac.tz