Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
Habari,
Niko katika harakati za kutaka kumsaidia matibabu girlfriand wangu,anasumbuliwa na infection katika kizazi ingawa haijajulikana wazi ni ipi hasa sasa kuna suggestion imetolewa kwamba anahitajika afanyiwe ultra sound mapema zaidi ili kusije kuwa na complications kwenye uzazi wake.
Kwa wale ambao mlishawahi kukitumia na wenye ufahamu nacho naombeni mnisaidie maelezo juu ya gharama ya hiki kipimo na je kinakuwa covered na bima ama ni lazima nikilipie kwa cash?Nina bima ya NHIF na CHF.
Niko katika harakati za kutaka kumsaidia matibabu girlfriand wangu,anasumbuliwa na infection katika kizazi ingawa haijajulikana wazi ni ipi hasa sasa kuna suggestion imetolewa kwamba anahitajika afanyiwe ultra sound mapema zaidi ili kusije kuwa na complications kwenye uzazi wake.
Kwa wale ambao mlishawahi kukitumia na wenye ufahamu nacho naombeni mnisaidie maelezo juu ya gharama ya hiki kipimo na je kinakuwa covered na bima ama ni lazima nikilipie kwa cash?Nina bima ya NHIF na CHF.