Msaada: Nahitaji kujua wapi nitapata daktari wa kutibu matege kwa watoto

Msaada: Nahitaji kujua wapi nitapata daktari wa kutibu matege kwa watoto

Subiri afikishe hiyo miaka miwili. Ukienda tena CCRBRT jaribu kumtafuta Dr Lui(Luijisyo) atakupa na Elimu kuhusu matatizo ya mwanao.
 
Wakuu poleni na majukumu,naombeni msaada wenu ni wapi nitapata daktari kwa ajili ya matibabu kwa mtoto wa mwaka mmoja na nusu anaonekana kuwa na matege ..Pia nimewahi kumpeleka ccbrt niksambiwa nimrudishe akifika miaka miwili hawakumpatia tiba yoyote..nitashukuru kwa msaada wenu na Mungu awabariki.
Nawakilisha
Kuna hosp moja ipo ukitoka makambako kama unaelekea Mbeya ni maarufu sana ni ya KKKT nimeisahau jina pale kuna mtoto mmoja namfahamu alikua na matege yale unaweza piga mpira ukapita kati vzr tu ila ss ukimwona utasema alinyooshwa kwa rula. Hebu jaribu huko pia
 
Kuna hosp moja ipo ukitoka makambako kama unaelekea Mbeya ni maarufu sana ni ya KKKT nimeisahau jina pale kuna mtoto mmoja namfahamu alikua na matege yale unaweza piga mpira ukapita kati vzr tu ila ss ukimwona utasema alinyooshwa kwa rula. Hebu jaribu huko pia
Asante mkuu
 
Wakuu poleni na majukumu,naombeni msaada wenu ni wapi nitapata daktari kwa ajili ya matibabu kwa mtoto wa mwaka mmoja na nusu anaonekana kuwa na matege ..Pia nimewahi kumpeleka ccbrt niksambiwa nimrudishe akifika miaka miwili hawakumpatia tiba yoyote..nitashukuru kwa msaada wenu na Mungu awabariki.
Nawakilisha
Nenda muhimbili moi kuna ndugu yangu alimpeleka mtoto wake alipewa viatu kama buti akavaa kwa miezi6 yakanyooka
 
Back
Top Bottom