Asante pia karibu DM kama hutojaliAsante sana mkuu
Asante sana mkuuAsante pia karibu DM kama hutojali
za kisomi Tafta u wakala wa mpesa tigo uwe una fanya transactionKidogo namba nne imekaa kisomi zaidi, shukrani
Kwani wakati wa vuli unaweza lima Forex? Sio kwamba zinapostawi matunda yake yanapeperushwa na upepo kirahisi?Msimu?
Mi ni muoga kwa watoto wa kike ambao sijawazoea, ntaishia kutetemeka vidole kwa kweli. Pia wabobevu wanasema pesa ya mwanamke hailiwi kizembe, eti pesa hubadilishwa na kuwa papuchi. Siwezi timiza malengo kwa namna hii.Kijiwe cha kusafisha kucha kwa wadada
Kwa walevi kivipi? [emoji15][emoji15]Uza utumbo,miguu ya kuku kwa walevi niliwah ona mama mmoja kwa siku ana kunja 30,000
SawaMi ni muoga kwa watoto wa kike ambao sijawazoea, ntaishia kutetemeka vidole kwa kweli. Pia wabobevu wanasema pesa ya mwanamke hailiwi kizembe, eti pesa hubadilishwa na kuwa papuchi. Siwezi timiza malengo kwa namna hii.
N.B: Nazipenda linda zangu
Hujambo? Nimeupenda mwandiko wakoSawa
Sijambo. Asante sana mkuuHujambo? Nimeupenda mwandiko wako
Umekosea kunita "mkuu". Mimi ni "babu"Sijambo. Asante sana mkuu
SawA Babu, asante piaUmekosea kunita "mkuu". Mimi ni "babu"
Ahsante kwa kunielewa mjukuu mzuri
😳Thank you...
I love you too...
auze mahindi ya kuchoma jamaa nimesikia anauza laki kwa sikuUza utumbo,miguu ya kuku kwa walevi niliwah ona mama mmoja kwa siku ana kunja 30,000
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Kumbe forex ni mazao any way hicho kilimo hutokiwezaKwani wakati wa vuli unaweza lima Forex? Sio kwamba zinapostawi matunda yake yanapeperushwa na upepo kirahisi?
Sasa we unasema 200k inatosha, wakati bado gharama za dawa za kuulia wadudu, gharama za uendeshaji. Hiyo siiwezi kwa kweli