Msaada: Nahitaji majina ya watoto wa Kike na Kiume ya Kiafrika, yasiwe ya Kizungu, Kiarabu wala Kiswahili

Msaada: Nahitaji majina ya watoto wa Kike na Kiume ya Kiafrika, yasiwe ya Kizungu, Kiarabu wala Kiswahili

Pole sana mtoa mada,vumilia,watakuja walioelewa ombi lako,watu wameambiwa wasikutajie majina ya Kiswahiliswahili,lakini wao wanataja tu,umeomba atakayetaja jina,ataje na maana yake,watu wanataja tu,umesema wabainishe majina husika,kama ni ya JINSI ipi,wao wanataja tu,aisee.Vumilia,watakuja mkuu.
 
Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji kupata majina ya mtoto wa kike au wa kiume, majina yawe ya kiasili ya Afrika na sio ya kikoloni kwa maana ya Kizungu au Kiarabu, kwa upande wa majina ya Kiswahili pia sitaki, mfano wa majina ya kiswahili ni kama Sikitu, Shida, Masumbuko, Mwamini, Majaliwa, Chuki, n.k

Tafadhali nipe jina na maana yake pia nijulishe ni la jinsi ipi ke au me,

Karibuni wadau.
Wendo.. Kigogo.. Wende kibena.. Maana yake upendo au huruma za Mungu.
Madovena... Kingoni.. Nimesahau maana.
Lusungu... Ni kihehe na kibena maana yake Huruma. Ni jina la kiume.
Atu.. Atupele.. Kibena, kihehe, sijui kinyakyusa.. Maana yake alitupata ni Mungu.. Jina la kike.
Anosisye.. Amependeza.
 
Wendo.. Kigogo.. Wende kibena.. Maana yake upendo au huruma za Mungu.
Madovena... Kingoni.. Nimesahau maana.
Lusungu... Ni kihehe na kibena maana yake Huruma. Ni jina la kiume.
Atu.. Atupele.. Kibena, kihehe, sijui kinyakyusa.. Maana yake alitupata ni Mungu.. Jina la kike.
Anosisye.. Amependeza.
Nimeipenda hii, shukran sana
 
Pole sana mtoa mada,vumilia,watakuja walioelewa ombi lako,watu wameambiwa wasikutajie majina ya Kiswahiliswahili,lakini wao wanataja tu,umeomba atakayetaja jina,ataje na maana yake,watu wanataja tu,umesema wabainishe majina husika,kama ni ya JINSI ipi,wao wanataja tu,aisee.Vumilia,watakuja mkuu.
Ndio tulivyo, hata kwenye mitihani na interviews tunafeli hivi hivi
 
Back
Top Bottom