Msaada: Nahitaji Mganga atakayeweza kunisaidia kurudisha mali zangu zilizoporwa

Msaada: Nahitaji Mganga atakayeweza kunisaidia kurudisha mali zangu zilizoporwa

Nipo lupaso Mtwara
Sawa
Kasulu Hao Ukifika Wapo Tele
Kuna Police Alichukua Tshs 30000/= Kama Notification Ya Mtu Aliyebeba Mgonjwa Kumpeleka HOSPITAL Wakiwa Hajavaa Helmet
Pesa Iliyolipwa Ndiyo Ilikuwa Itumike Kumtibu Mgonjwa

Police Alipigwa Kimbora Kila Akivaa Nguo Za Police Anawashwa Mwili Wote Akivua Anakuwa Poa
 
Sawa
Kasulu Hao Ukifika Wapo Tele
Kuna Police Alichukua Tshs 30000/= Kama Notification Ya Mtu Aliyebeba Mgonjwa Kumpeleka HOSPITAL Wakiwa Hajavaa Helmet
Pesa Iliyolipwa Ndiyo Ilikuwa Itumike Kumtibu Mgonjwa

Police Alipigwa Kimbora Kila Akivaa Nguo Za Police Anawashwa Mwili Wote Akivua Anakuwa Poa
huyu ananifaa nipe namba yake ya simu
 
Wakuu nahitaji msaada Mganga wa kuunganishwa na mganga atakayeweza nisaaidia kurudisha mali zangu zilizoporwa, pamoja na kuwa adhibu wahusika, Malipo ni baada ya kazi (vitu kurudishwa na wahusika kufahamika)

Natanguliza Shukrani
@MshanaJr unatafutwa huku wewe ndiye uliyebobea kwa ulozi
 
Mm naweza hiyo kazi ila upo tayari kunipa mkeo au dada yako ambaye hajatumika sana?
Kama upo serious nifate PM chap tuanze kazi.
 
Sawa
Kasulu Hao Ukifika Wapo Tele
Kuna Police Alichukua Tshs 30000/= Kama Notification Ya Mtu Aliyebeba Mgonjwa Kumpeleka HOSPITAL Wakiwa Hajavaa Helmet
Pesa Iliyolipwa Ndiyo Ilikuwa Itumike Kumtibu Mgonjwa

Police Alipigwa Kimbora Kila Akivaa Nguo Za Police Anawashwa Mwili Wote Akivua Anakuwa Poa
Hio dawa vipi wangeitumia kwa huyo mgonjwa wao ili asiugue ?
 
Mm naweza hiyo kazi ila upo tayari kunipa mkeo au dada yako ambaye hajatumika sana?
Kama upo serious nifate PM chap tuanze kazi.
Sasa unashindwa vipi kuwapata kwa ujuzi wako mpaka upewe au dawa zako zipo specific kudhuru wezi pekee ?
 
Sijakuelewa mkuu
Dada yake au Mke wake ? Unamwabia akupe ili umtengenezee dawa.., sasa kwa ujuzi wako wa kudhuru watu waliopo kilomita kadhaa wala hujui wapo wapi unashindwa kuwapata hao dada zake mpaka akupe ? ( Ukizingatia hilo la dada wala halihitaji dawa, unapeleka mahari tu wala huitaji uchawi)
 
Hakuna mganga Zaid ya Mungu nimeenda Kwa waganga lakin watakuingiza matatizoni mwenyewe .
 
Ndugu usipokua makini na roho ya uvumilivu utapoteza ata hicho ulichobakiza,waganga wa ukweli woteee walikufa kipindi cha vita ya pili ya Dunia waliobaki wote waganga njaa.Mwachie M/mungu atafanya yake..
Jidanganye wew mswahili
 
Kazi zote zinaishia pangani...

Kuna mzee alibiwa godoro na vibaka mtaani kwetu..
Akatuaga anaenda kwa wazee wake Pangani,aisee mjamaa alieiba alikufa kama utani vile...
 
Back
Top Bottom