Msaada: Nahitaji mkopo usio na riba

Msaada: Nahitaji mkopo usio na riba

Wakuu habari ya muda huu, ninahitaji mkopo wa laki 7 usio na riba na nitalipa kwa miezi 5(Kila awamu ni Tsh.140000 au zaidi).

Dhamana ni hati ya kiwanja nilichonunua 2019 kwa Tsh 1.3M..Nipo magomeni mwembechai. Aliye tayari karibu tuchat.

Namba zangu ni 0654102984.
Una tako kubwa?
 
Back
Top Bottom