MSAADA: Nahitaji ushauri ni friji aina ipi bora kati hii HISENSE au BRUHM

MSAADA: Nahitaji ushauri ni friji aina ipi bora kati hii HISENSE au BRUHM

Chomo

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2017
Posts
250
Reaction score
662
Wakuu salaam,
Nahitaji kununua friji kwa bei ya hizi zetu watu wa hali ya kawaida,sasa ktk pita zangu nimeona angalau HISENSE na BRUHM ni bora kidg kulingana na pesa niliyonayo

naomba ushaur je ipi ni bora kati izo ya izo mbili hapo

je zile za condeser nje yaan nyuma ya friji na zile zilizosukwa ndan ipi ni bora

Najua wapo wataalam au baadhi yao waliowahi kununua aina izo hapo juu,mnaweza nipa ubora au changamoto zake..

nimeona vizur kuuliza kabla ya kufanya ujuaji mwisho nipigwe bure...

asanten
 
Wakuu salaam,
Nahitaji kununua friji kwa bei ya hizi zetu watu wa hali ya kawaida,sasa ktk pita zangu nimeona angalau HISENSE na BRUHM ni bora kidg kulingana na pesa niliyonayo

naomba ushaur je ipi ni bora kati izo ya izo mbili hapo

je zile za condeser nje yaan nyuma ya friji na zile zilizosukwa ndan ipi ni bora

Najua wapo wataalam au baadhi yao waliowahi kununua aina izo hapo juu,mnaweza nipa ubora au changamoto zake..

nimeona vizur kuuliza kabla ya kufanya ujuaji mwisho nipigwe bure...

asanten
Zote hizo ni bidhaa nzuri sanaaaa mm ningechagua BRUHM
 
Nunua Von Hotpoint, hautajutia.
IMG_20220913_181308.jpg
 
Mafriji mengi ni mazuri sana, mahali zinapotofautiana ni:
1. Matumizi ya umeme. Mafriji mengi ni jini mla umeme, unakwepa bei ya kununua lkn litakutesa sana kwenye umeme. Energy efficiency kwa nilivosikia utaipata Samsung na LG ingawa hayo mimi binafsi sijayatumia ila najua bei yake imechangamka sana. Binafsi natumia Boss, hilo sio friji bali ni jini mla umeme.
2. Kutengeneza mabarafu. Tafuta mafriji yanayozalisha ubaridi bila kuweka mabarafu. Kwa usafi haya ni mazuri zaidi kuliko yanayotengeneza utando wa barafu.
Mimi yangu ni hayo.
 
Back
Top Bottom