MSAADA: Nahitaji ushauri ni friji aina ipi bora kati hii HISENSE au BRUHM

MSAADA: Nahitaji ushauri ni friji aina ipi bora kati hii HISENSE au BRUHM

Umezoea mitumba mpaka huamini kitu chochote kipya.
Mimi nilinunua friji mtumba 6 yrs ago sh laki 7... Sijawahi juta mpaka leo, yaani friji inapoza hiyo balaa.. Sasa hapa majuzi nikanunua Homebase kwa milioni moja yaani hakuna friji hapo, inapoza tuu kwenye friza huku chini vitu ukiweka vinavunda na kuharibika.. Yaani bure kabisa.. Mafundi wanasema mchina kaweka kompresa ndogo ambayo haina nguvu...
 
Mimi nilinunua friji mtumba 6 yrs ago sh laki 7... Sijawahi juta mpaka leo, yaani friji inapoza hiyo balaa.. Sasa hapa majuzi nikanunua Homebase kwa milioni moja yaani hakuna friji hapo, inapoza tuu kwenye friza huku chini vitu ukiweka vinavunda na kuharibika.. Yaani bure kabisa.. Mafundi wanasema mchina kaweka kompresa ndogo ambayo haina nguvu...
Mimi nilinunua friji jipya more than 10yrs ago hadi leo linafanya kazi.
 
Niko chuo nikadaka Aborder nililizarau sana ilaa hadi leo nipo nalo mwaka wa 4 huu...!!
 
Nakushauri nunua HiSense , sio kwa sababu ni brand nzuri kuliko zingine, bali wanakupa Warranty ya miaka 3. Na ikipita miaka 3 basi unauhakika spare zake utazipata genuine kutokea kwa Wakala aliyepo nchini..
 
Hii hamna kitu kabisa mkuu, nimenunua jipyaa lakini huku chini hakupooozi vizuri... Fundi akaniambia yana uwezo mdogo labda uliache bila kuzima wiki nzima
Mimi ninalo la kampuni hiyo ya homebase la milango ya kioo lipo poa kabisaaa na halitafuni umeme
 
Uzuri wa Bruhm halili umeme sana, natumia mwaka wa 3 huu, wakati nanuna nilikuwa na wasiwasi sana lkn lipo vizuri.
 
Mimi nilinunua friji jipya more than 10yrs ago hadi leo linafanya kazi.
Hizo ni zile products za zamani, zilikuwa na ubora wa hali ya juu kabla mchina kuanza kumwaga bidhaa zake feki... Kuna friji anko wangu alikuja nalo toka UK Miaka ya themanini hukoo na music system ya HITACHI mpaka leo vyote vizima kabisa ingawa ni old models..
 
Hakuna kitu apo..
Nunua used 250k
Kuna friji nilinunua used laki tatu na nusu miaka 10 iliyopita yaani mpaka leo linadunda na wala halijawahi kusumbua.
 
Umezoea mitumba mpaka huamini kitu chochote kipya.
Mbona magari tunanunua mitumba mkuu? huo ndiyo uwezo wetu, friji ya uhakika mpya ni kuanzia milkioni 3 hizi za laki 5 mpaka 7 ndiyo hizo siku mbili chaliii...
 
Nilifanikiwa kupata aina ya Hisense kulingana na ushaur na pesa niliokua nayo..

Kwa mujibu wa muuzaji anasema yanayotoka South Africa ni mazur kuliko China..capacity yake ni kama 210L iv

Changamoto nimeanza kuona juz hapa baada ya wife kuanza kugandisha mabarafu,aisee linachukua siku mbili hadi upate barafu ilio ngumu..sasa najiuliza sijui ni joto la hapa siku za katkat au uwezo wake tu ni mdg!!
 
Nilifanikiwa kupata aina ya Hisense kulingana na ushaur na pesa niliokua nayo..

Kwa mujibu wa muuzaji anasema yanayotoka South Africa ni mazur kuliko China..capacity yake ni kama 210L iv

Changamoto nimeanza kuona juz hapa baada ya wife kuanza kugandisha mabarafu,aisee linachukua siku mbili hadi upate barafu ilio ngumu..sasa najiuliza sijui ni joto la hapa siku za katkat au uwezo wake tu ni mdg!!
[emoji1787]
 
Back
Top Bottom