Msaada: Najua natembea na changudoa, lakini kumuacha siwezi

Heshemu maandiko ya vitabu utubu ulie kwa sababu uzizi mtu huingia na mitaji mitatu na yote humtoka pesa matendo mema na afya pesa hukutoka matendo mema delete na afya hukutoka
 
Kaaa hapoo utuliaa ukimwii,uti gonoreaa vitakufkiaaa soon azzzz posibooooo
 
Machangu wote hawapendi Ile siku wanayoiita na kujimilikisha kwamba ni yao, na kama ilivyo bangi na vilevi vingi kuacha ni issue, kama huamini siku akipigiwa simu mwambie ninakupa hela unayoenda kupewa mara saba zaidi, atakuchenga na ataenda, lakini kama huwa hutumii condom chukua fursa hii kutembelea wodi ya kibasira muhimbili ye waathirika wa ukimwi uanze viziaga kitanda
 
kaka ni kwamba huyu binti amepanga ninapishi. Harafu ni mzuri so sikutaka kuchelewa na wala sikuwa na mpango wa kuoa. Nilitaka kufanya kwa kipindi then nisepe.
Uzuri ndo unakuponza mkuu
 
Uzinzi?
 
nitakapo pata njia ya kuachana nae nadhani nitafanya hivyo. Tambua namaanisha, tambua sipo hapa kuuza chai wala kahawa. Mawazo yako mkuu
Duh inaelekea hukuwahi kuwa na demu mkali before Dunia hii watu wanaacha hadi ufalme wa taarabu wewe upo kwenye research ya kutafuta magonjwa
 
Zungumza nae taratibu..mueleze hisia zako,na kwamba ungependa uhusiano wenu uende wapi..pengine akakuelewa,ukiendelea kuendekeza udhaifu wako kwa kutomaswa tomaswa kdg tu..utalia wivu daily!!!
Fanya hivyo ili ujue uhusiano wenu unaelekea wapi..otherwise hakufai huyo.
 
Profile picture yako, inadhihirisha unataka msaada meku, lakini sasa kweli mtu aletwe na gari hata huna wivu? kama ni mm hiyo tu ndo ingenipa ujasiri wa kupiga moyo konde, bro that chic is abitch and you know it, comeooooooon wake uuup!
 
Nikikuaga nashangaa kusikia watu wanajiandalia makaburi yao nikawa nashangaa kweli!? Kumbe ndo kwa style hii? Mkuu andika mirathi kabisa ndugu zako wasije pata tabu badae..... Rip in advance
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Nilishawahi kuwa kwenye hiyo situation. Dawa anzisha mapenzi sehemu ila asijuwe, pia mpotezee taratibu tu.
 
Nimenasa kweli nakama angebadilika basi nadhani angekuwa mke wangu
Umenasa kwa uzuri wake au kwa sababu uliona ni mtu sahihi kuishi na wewe 'for the rest of your life'? Nadhani sababu zako zipo katika matamanio ya mwili zaidi ya kuwa yeye ni mtu wa aina gani na kwamba atafaa kuitwa mke wako kwa tabia zake, achilia mbali uzuri wa sura.

Fikiri tena, acha kuongozwa na hisia kijana. BTW, ni muhimu kutumia njia za kuzuia maambukizi ya maradhi ya kuambukiza kingono, you're not safe.
 
Ushauri wako umenipa uhueni wa kunifanya
nimface, Umeandika kile ambacho nilikuwa nakitafuta. Nitalifanya hili katika sehemu tulivu na ya wazi. Kile ambacho aliwahi kuniambia ni kwamba aliolewa Musoma lakini mwanaume aliyemuoa alikuwa akimpiga mpaka kumvunja mkono. Maamuzi aliochukua ni kukimbia. Sasa sijui kama hili linaweza kuwa chanzo
 
Kaka tambua upendo huanza kama tamaa, na mimi nilianza kwa kutamani. Mungu anajua ninachokisema. Nampenda sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…