Msaada: Najua natembea na changudoa, lakini kumuacha siwezi

Msaada: Najua natembea na changudoa, lakini kumuacha siwezi

Basi sawa usisahau kutuletea n mrejesho wa afya yako siku za mbeleni,maana mimi nina duka la pampers za watoto itabidi Nikuwekee saiz yk ili uje uniungishe mambo yakishaharibika,mshahar wa dhambi ni mauti
 
Hii kitu iiii kitu iiii X3

Wengi wamekufa shauri ya kitu iiii
Wengine ni vilema shauri ya kitu iiii

Wengine wamekosana,shauri ya kitu iii
 
Heshemu maandiko ya vitabu utubu ulie kwa sababu uzizi mtu huingia na mitaji mitatu na yote humtoka pesa matendo mema na afya pesa hukutoka matendo mema delete na afya hukutoka
ahsante sana mkuu
 
Wasalaam
wakuu

Nikama miezi mitatu imepita tokea nilipoanzisha mahusiano na binti mmoja hivi mwenyeji wa mkoani Kilimanjaro.

ni binti mzuri wa sura, mweupe wa rangi na mwenye macho sahihi ya kike. Uhusiano wangu na binti ulianza pale alipohamia kwenye nyumba ninayoishi mimi akitokea maeneo ya Mji mwema Kigamboni. Mara ya kwanza kukutanisha macho yetu nilihisi Moyo wangu ukiniambia kitu. Moyo wangu ulizungumza tamaa, Tamaa juu ya umbo la mtoto yule wa Kichaga. Nikatamani kumpata na kumfanya wangu kwa kipindi kirefu kwa kuwa alikuwa anavutia sana.

Kwa kuwatumia washkaji hasa mtoto wa mwenye nyumba yangu nikafanikiwa kumpata mtoto huyu na kitu ambacho kilinivutia ni pale tulipoongea siku ya kwanza tukiwa wawili akafanikiwa kulitumia dushe langu kama kipaza sauti na kufanikisha kuniliza chozi moja la fasta.

Baada ya tukio hilo mapenzi yakazaliwa huku tukipeana na wakati mwingine akijakuchukuliwa na magari kisha kurudishwa asubuhi. Niliendelea kuvumilia hali ile kwa kuwa nilijiwekea kwamba napiga kwa muda kisha nasepa lakini sasa naona nimedata naye amenasa. Kumuacha nashindwa
na yeye kuacha UCHANGUDOA hawezi. Kuna wakati alikuwa akitishia kujiua iwapo angenifumania na kikubwa anasema ameshafanya matukio makubwa ya kucharanga viwembe wanawake wenzie.

hilo linanitisha na kunisumbua. ni kweli ni mzuri, ni kweli ni fundi kiasi chake. Lakini bado ni muuzaji na kibaya zaidi najua kuwa anajiuza. Jana nilijaribu kuongea naye lakini mwisho wa siku akaangukia kwenye kunipa penzi. Nilijikuta nikisahau hata kuendelea kumuuliza. Tuliagana vizuri baada ya mechi na kuniambia kuwa anakwenda kulala, Lakini cha ajabu Nimeamka asubuhi namuona akishushwa na gari akiwa na mizigo. Moyo Unaniuma, nimeamua kumnunia lakini siwezi kwa kuwa Nampenda sana.

MSAADA KATIKA HILI
Mkuu kwenye hilo swala mimi pia niliwai pitia , nilipata demu kupitia “badoo"nimelog in asubuhi nikajichagulia mwenye pozi zuri, nikafanikiwa kumpata binti mmoja mwenyeji wa kigoma, jioni nikajipigia.kilichofuata yule binti nilishindwa kumuacha kirahisi na yeye pia aliniganda, japo nilijua anajiuza, mara ya kwanza nilipiga kwa hela ila siku zilivyosonga akawa ananipa bure, ikawa ndio tulizo langu, mpaka mwenyewe akawa anashangaa why tumekuwa so closed na yy huwa sio kawaida yake,,, binti akaona anaweza kunipa magonjwa na alikuwa akinihurumia ilimbidi ahame mkoa kabisa na kwenda kufanya biashara yake mkoa mwingine japo ilinitesa kwa muda mwishowe nikazoe, now huwa tunawasiliana tu na hataki nijue yupo mkoa gani.

Mimi cha kushauri kama una nia ya kutokuwa nae unaweza achana nae ikibidi hama hapo na ufute mawasiliano nae coz ukiendelea unaweza pata magonjwa yetu ukaja kushtuka kumekucha.
 
Profile picture yako, inadhihirisha unataka msaada meku, lakini sasa kweli mtu aletwe na gari hata huna wivu? kama ni mm hiyo tu ndo ingenipa ujasiri wa kupiga moyo konde, bro that chic is abitch and you know it, comeooooooon wake uuup!
Mkuu kilichotokea leo kimenifanya nije niseme ukweli
 
Mkuu kwenye hilo swala mimi pia niliwai pitia , nilipata demu kupitia “badoo"nimelog in asubuhi nikajichagulia mwenye pozi zuri, nikafanikiwa kumpata binti mmoja mwenyeji wa kigoma, jioni nikajipigia.kilichofuata yule binti nilishindwa kumuacha kirahisi na yeye pia aliniganda, japo nilijua anajiuza, mara ya kwanza nilipiga kwa hela ila siku zilivyosonga akawa ananipa bure, ikawa ndio tulizo langu, mpaka mwenyewe akawa anashangaa why tumekuwa so closed na yy huwa sio kawaida yake,,, binti akaona anaweza kunipa magonjwa na alikuwa akinihurumia ilimbidi ahame mkoa kabisa na kwenda kufanya biashara yake mkoa mwingine japo ilinitesa kwa muda mwishowe nikazoe, now huwa tunawasiliana tu na hataki nijue yupo mkoa gani.

Mimi cha kushauri kama una nia ya kutokuwa nae unaweza achana nae ikibidi hama hapo na ufute mawasiliano nae coz ukiendelea unaweza pata magonjwa yetu ukaja kushtuka kumekucha.
ahsante kaka, nitafanya hivyo, natamani kujiondoa katika hili
 
Luv is blind, pole kaka endelea kuvumilia ipo siku atatulia akiwa ameanza dozi
 
Nunua gari mkuu ili na wewe uwe unamfuata kwa gari maana wenzio wanamrusha kwa magari yao ndo kinachokuuma hicho! Alafu ukinunua gari hasa gari la maana utapata wazuri/Mzuri zaidi ya Huyo maana wazuri hawapendi kuchomwa na jua au kutoka gaga za miguu wanapenda kutembelea matako baba ndo maana huyo Mchaga anafatwa na kurudishwa sasa wewe ule makombo kwa sababu gani? Nunua gari kaka
 
Ushauri wako umenipa uhueni wa kunifanya
nimface, Umeandika kile ambacho nilikuwa nakitafuta. Nitalifanya hili katika sehemu tulivu na ya wazi. Kile ambacho aliwahi kuniambia ni kwamba aliolewa Musoma lakini mwanaume aliyemuoa alikuwa akimpiga mpaka kumvunja mkono. Maamuzi aliochukua ni kukimbia. Sasa sijui kama hili linaweza kuwa chanzo


Wakati unaenda kukutana naye, tambua kuwa every the so called changudoa has her cover story. Yawezekana hiyo ya kupigwa na mmewe ni cover story yake. Wengine cover stories zao huwa kama vile wazazi wangu walikufa, kwetu ni maskini nk. Kutambua hilo you will need kuwa zaidi ya makini wakati wa maelezo.

Hilo lako alilokwambia, linaibua maswali mengine, why apigwe na mmewe, alipigwa kwa nini (yawezekana sababu ya uchangudoa ), na why akimbie kwa maana alikuambia aliolewa inamaana hakukuwa na wasuluhishi.? Wasuluhishi walisuluhishaje ( au hakufuata ushauri wa wasuluhishi.?), mme wake akija mbeleni akadai huyo ni mkewe halali utafanyaje.?

Hayo ni baadhi ya maswali ya kujiuliza kabla ya kwenda kumface na hata baada ya kumface. As i told you only ask yourself such questions if and only if una long plan naye. Otherwise chapa ilale.
 
Shemu ni Rahisi kumtia kofi MP wa jeshi kuliko mimi kumuacha huyu. Ingawa sijaongea naye kutwa nzima lakini hapa nilipo nahisi kuungua
Hahaha shemu hakuna namna jinasue.....kama ulishafiwa na umpendaye inavyouma baadae unaona sawa japo ngumu kuzoea .....msome BADILI TABIA
 
Jana nilimwambia Ukweli wote kuhusu mpango wangu wa kuishi naye. Lakini kwa nilichokiona leo ndicho kimenileta hapa jukwaani
Shemu pole kabla hujaendelea kujiumiza kwa swala hilo mfikirie dogo na maisha yake naamini na hilo litapita
 
Back
Top Bottom