Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo avumilie usumbufu wao?Kwanini umuue. ..kwani wewe ndiye mwenye haki pekee ya kuishi duniani. .....yaani mtu unaongelea kuua kiumbe as if ni normal thing kweli..?
Kwahiyo avumilie usumbufu wao?
Tuwekee hizo njia hapa mkuu ukiachana na hio ya kufuga mbwa.Kwani hakuna njia nyingine ya kuwadhibiti tofauti na hiyo ya kumuua
Ikishindikana njia nyingine ni lazima auliwe. Kuna lipaka jeusi linakujaga hapa kwangu ukimfukuza anakutazama tu, nahisi sio paka wa kawaidaKwani hakuna njia nyingine ya kuwadhibiti tofauti na hiyo ya kumuua
huyo paka ni mwizi na siyo kwamba anakaa kwake, yani huyo kazi yake ni kuja kuiba mayai na vifaranga na kutokomea kusikojulikana. Tufanye nyoka yupo kitandani kwako na kagoma kutoka utahama?? AU ANAKUJA JAMBAZI ANAKUPIGA SANA NA KUTAKA KUKUUA UKIBAHATIKA KUMZIDI UTAMUACHA??Huyo ni binaadamu ana uwezo mpana wa kufikiri kuliko huyo paka. .bado Kuna njia nyingi tu ambazo anaweza kuzitumia zikasaidia kuto muhusu huyo paka kufika hapo. ..kuliko kumdhulumu haki yake ya kuishi
[emoji28] [emoji28] Hayo yanaliwa kama una moyo wa ajabu siku ukimuua mle.Ikishindikana njia nyingine ni lazima auliwe. Kuna lipaka jeusi linakujaga hapa kwangu ukimfukuza anakutazama tu, nahisi sio paka wa kawaida
Nitakuletea umle wewe[emoji28] [emoji28] Hayo yanaliwa kama una moyo wa ajabu siku ukimuua mle.
Dogo shule mnafungua tarehe ngapi?Sisi zamani tulikuwa tunaacha mlango wa nyumba wazi na huko ndani tunaweka mzoga wa kuku au nyama yoyote ile. Usiku tunalala wanakuja na kuingia ndani na kisha tunaanza kuwashambulia baada ya kufunga mlango.
Tulikuwa tunawaua sana, wanaweza kuingia hata watano, tukifunga mlango humo ndani ni vurugu hadi wafe wote.
Kwa mini ale mayai ambayo yangetoa kuku wa kutosha, kwani yeye ndiye mwenye haki ya kuishi duniani?Kwanini umuue. ..kwani wewe ndiye mwenye haki pekee ya kuishi duniani. .....yaani mtu unaongelea kuua kiumbe as if ni normal thing kweli..?
Tuwekee hizo njia hapa mkuu ukiachana na hio ya kufuga mbwa.
Kwa mini ale mayai ambayo yangetoa kuku wa kutosha, kwani yeye ndiye mwenye haki ya kuishi duniani?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi Jf mnavuta bhangi watu au???TAFUTA MBWA MKUBWA MKALI UONE PAKA ANAVYOHAMISHA MAKAZI NA HAWATAKANYAGA KWAKO TENA.
KUMBUKA KUWA UKIFUGA MBWA KOKO ATAPIGWA MAKOFI NA PAKA HADI ACHAKAE.
Inategemea na mwanafunzi mwenyewe anataka kurudi shule au lah, mimi sijarudi shule kwa sababu sitaki kusoma.Dogo shule mnafungua tarehe ngapi?
Nitasaga nyama yake niweke kwenye sambusa niuzie watu.Nitakuletea umle wewe
Kitu hicho hicho tu. Unatumia kuua paka shume.Fuga Mbwa mkali mkuu,Mambo ya kuua ua muachie Mungu mwenyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23]Simwachii Mungu mkuu, paka huyu lazima afe!!!
Hebu weka picha yako mkuu, tusije kua tunachat na paka mtu hapa.Hahaa sasa niweke vipi. .wakati huyo jamaa yako hata kufuga mbwa hataki. .. waweza kukuta hata miundo mbinu ya makazi anayolaza mifugo yake ni mibovu. ..inamruhusu huyo paka mtafuta kitoweo kuweza kupenya kwa wepesi nakujipatia vitoweo vyake. ...
Hadi hivi sasa mimi sijaona kosa la huyo paka hapo. .kwa sababu hiyo ni nature yake. .kama jinsi ambavyo sisi binaadamu tunavyo kula mbuzi. Samaki. Kuku etc. ..wenyewe hawapendi kuliwa ila kwa kuwa ni nature ya ulimwengu ndivyo ilivyo hawana lakufanya. ....