Kazanazo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2023
- 2,582
- 4,554
Mkuu ukitaka kurely kwenye faida tu huwezi kufanya biashara yoyote faida inatengenezwa haiji tu kazi ya uwakala ni kazi nzuri sana kwa upande wanguNiliwahi fikiria hii kuuza mahindi nikafanya utafiti Masoko ya Dar aisee Mtaji wa Milioni 30 unapata faida ya 1M kwa ku hustle sana