Mkuu ukitaka kurely kwenye faida tu huwezi kufanya biashara yoyote faida inatengenezwa haiji tu kazi ya uwakala ni kazi nzuri sana kwa upande wanguNiliwahi fikiria hii kuuza mahindi nikafanya utafiti Masoko ya Dar aisee Mtaji wa Milioni 30 unapata faida ya 1M kwa ku hustle sana
Mil20 hawez kupata return ya 1m kwa mwez inategemea na location na huduma anazotoaBadp ngoma ngumu.....20M ni hela nyingi ilitakiwa angalau apatw faida ya 2M minimum
SawaMil20 hawez kupata return ya 1m kwa mwez inategemea na location na huduma anazotoa
20M mkuu kuipata tu ni mbinde sasa hustle zake mwezi mzima upate 1M ni pesa ndogo hata matumizi ya familia haitoshiMkuu ukitaka kurely kwenye faida tu huwezi kufanya biashara yoyote faida inatengenezwa haiji tu kazi ya uwakala ni kazi nzuri sana kwa upande wangu
Ukipata eneo zuri ukachanganya uwakala wa bank na uwakala mkuu huwezi pata 1m per month ni ndogo sana20M mkuu kuipata tu ni mbinde sasa hustle zake mwezi mzima upate 1M ni pesa ndogo hata matumizi ya familia haitoshi